Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,057
- 2,637
Mkuu inaelekea umetokea DODOMA huko kwa wakina matonya shida yako Uanze kutembeza bakuli tukisha kutana shem on u.Sioni faida yoyote ya kukutana wana jf.Kupoteza muda tu.
wapi huko?Msemo huu wanikumbusha mbali
Umeniwahi siongezi nitaharibuWe nawe sijui niseme una mawazo mgando...umechoka au umefulia. Kufahamiana na watu na kuomba omba wapi na wapi?!Kama ndio tabia yako au ya watu unaowajua usidhani na wengine ndo walewale.
kabisa bighouse! Either mask or never! Kweli, Members kukutana huondoa uhuru wa kuchangia mada hasa zile sensitive na kuna ladha flan hv ktk charting hupotea cuz now ur knwn na ukitaka kuandika ki2 unafikiria status yako kwanza, then unaedit coment mpaka unachoka ndo unaipost! Pia kukutana huwa mwanzo wa majungu, kuchafuana na ugomvi kwa baadh ya watu! I hv experienced that ktk mtandao mmoja wa kijamii people zilikutana na kilichotokea hapo ni hatari, ndoa zilivunjika, wengne walifukuzwa kazi kwa kweli ctaki tena kuonana na watu eti members.....! Never...!Tukikutana labda tuwe ndani ya mask maana wengine tupo hapa huru kabisa kwa sababu tu hatufahamiani. Napenda sana kutokujulikana ndio maana sichangii mada za mitandao kama facebook
Bwana wee hiki unachokiongea naona unajaribu kujiprotect mwenyewe ambacho kwangu mimi doesnt make sense at all hapa JF baadhi ya members huwa tunakutana mara kwa mara mpaka members wa JF Dar tulifunga safari kwenda kuwaona members wa JF Arusha and nothing has changed zaidi ya familia kuwa kubwa na tumeweza kusaidiana kwenye mambo mengi tu ya muhimu hata nikutane sijui na nani siwezi kubadilisha comments zangu nazoandika JF eti ili nisionekane tofauti huo nitakuwa nauita ulimbukeni fulani.kabisa bighouse! Either mask or never! Kweli, Members kukutana huondoa uhuru wa kuchangia mada hasa zile sensitive na kuna ladha flan hv ktk charting hupotea cuz now ur knwn na ukitaka kuandika ki2 unafikiria status yako kwanza, then unaedit coment mpaka unachoka ndo unaipost! Pia kukutana huwa mwanzo wa majungu, kuchafuana na ugomvi kwa baadh ya watu! I hv experienced that ktk mtandao mmoja wa kijamii people zilikutana na kilichotokea hapo ni hatari, ndoa zilivunjika, wengne walifukuzwa kazi kwa kweli ctaki tena kuonana na watu eti members.....! Never...!
Bwana wee hiki unachokiongea naona unajaribu kujiprotect mwenyewe ambacho kwangu mimi doesnt make sense at all hapa JF baadhi ya members huwa tunakutana mara kwa mara mpaka members wa JF Dar tulifunga safari kwenda kuwaona members wa JF Arusha and nothing has changed zaidi ya familia kuwa kubwa na tumeweza kusaidiana kwenye mambo mengi tu ya muhimu hata nikutane sijui na nani siwezi kubadilisha comments zangu nazoandika JF eti ili nisionekane tofauti huo nitakuwa nauita ulimbukeni fulani.
nafikiri ni vizuri ikawa, Usisahau Biblia !!! sadaka unaweza kuazima!Usisahau sadaka!!!Biblia unaweza kuazima!
Bwana wee hiki unachokiongea naona unajaribu kujiprotect mwenyewe ambacho kwangu mimi doesnt make sense at all hapa JF baadhi ya members huwa tunakutana mara kwa mara mpaka members wa JF Dar tulifunga safari kwenda kuwaona members wa JF Arusha and nothing has changed zaidi ya familia kuwa kubwa na tumeweza kusaidiana kwenye mambo mengi tu ya muhimu hata nikutane sijui na nani siwezi kubadilisha comments zangu nazoandika JF eti ili nisionekane tofauti huo nitakuwa nauita ulimbukeni fulani.
Kwa anayetaka kukutana nami nipo break point hadi mida ya saa sita mchana. Nikitoka hapo natinga sungu chini kupata supu ya kunguru wa zenji. Jioni ntakuwa the calabash pub. Karibuni tujumuike na tufahamiane.
Nitake Radhi Teamo,nipo humu ndani since 2009,members wapya mna matatizo sana....!jf tuunaijua thamani na hadhi yake,tumetoka nayo mbali....na tunakutana daily....as from then sisi tunaishi kama familia na ndugu wamoja.
mfalme wa amani is hereby welcoming you to join the club....and trust me my dear.....uthubutu wa wanajf kukutana ulianzia dar!check me kwa mwongozo zaidi.....
teamo hapa
Jamaa ana chiki Binafsi....Huyu aliyeamua kuwalaumu members wapya amenifanya nicheke. Muanzisha mada inaonekana amejiunga long time ago, lakini kwa kuwa mada yake haijamfurahisha mkuu hapo juu basi wanalaumiwa new comers. Hii kweli kali!
Siyo mbaya kukutana na kufahamiana, at every one's own risk..
Mkuu we unaishi ulimwengu huu ninaoshi mimi kweli au unatokea Jupiter??Mkuu inaelekea umetokea DODOMA huko kwa wakina matonya shida yako Uanze kutembeza bakuli tukisha kutana shem on u.Sioni faida yoyote ya kukutana wana jf.Kupoteza muda tu.
Respect NN.Kwa anayetaka kukutana nami nipo break point hadi mida ya saa sita mchana. Nikitoka hapo natinga sungu chini kupata supu ya kunguru wa zenji. Jioni ntakuwa the calabash pub. Karibuni tujumuike na tufahamiane.
Na post Hii Thread nikiwa sijaiona hapa Jamvini,
Kwa wale members wa MMU ambao tupo Dar (Nikiwa Mmoja wao) naomba tu propose day tu mit, tufahamiane, Namba za Simu tubadilishane n.k n.k n.k.
Napendekeza Tarehe za Mwanzoni mwa August.
Moods Naomba Mu i treat hii Thread as an independent one.
Thanks in Advance