Tetesi: Mmoja kati ya waandishi atakayefanya mahojiano na Makonda Starvt ana vyeti vya kughushi!!!

BBC dira ya dunia ndio kipindi pekee watu huangalia, otherwise hiyo TV is nearly to be declared bankrupt.

Wote hapa Mtaangalia kipindi. Nawaambia .Watz umbea ndo maisha yenu. So kupindi kitajaa watazamaji haijawahi tokea -
 
Kuna taarifa inasambaa mitandaoni kwa kasi kutoka kwa mtu anayejitambulisha kwa jina la bundala,mtumishi wa sahara media akidai kwamba mahojiano yatakayofanyika na bwana bashite hapo STARTV yanaweza kumuumbua mmoja ya watangazaji ambaye inasemekana ana vyeti feki!

Katika andiko hilo ametahadharisha mambo mengi pamoja na hilo

Waandishi walioandaliwa kufanya mahojiano na makonda,kwa mujibu wa tangazo linalozunguka mitandaoni, ni Leonard Mapuli na Aloyce Nyanda

Ni nani kati yao ana vyeti feki?

Sasa mwenye vyeti feki kumuhoji mwenye vyeti feki mwenzake mbona naona kama kiitifaki imekaa vizuri daudi itakuwa alikataa kuhojiwa na mwenye vyeti halali
 
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa Dar-As-Salaam Paul Makonda ....ataunguruma na Kituo Jasiri Star Tv kwa Sekunde 5400....atatufafanulia mengi yaliyojificha.
 
Viva startv viva makonda, clouds TV walidhani wenye media house ni wao tu. nchi nzima tutatazama star tv

Ni nini tafsiri ya nchi nzima kwako??? Nadhani mara ya mwisho kuangalia Star Tv ilikuwa ni kipindi wana tamthiliya inaitwa "MariMar" au walipoondoka kina Ivona Kamuntu.
 
Maapuli was my class mate jamani nimesoma nae shule moja from Form one to Form four amemaliza 2005 ana DV 111 Form four , advance amesoma private labda uyo mwingine!!! Na chuo kasoma SAUT!!
 
Maapuli was my class mate jamani nimesoma nae shule moja from Form one to Form four amemaliza 2005 ana DV 111 Form four , advance amesoma private labda uyo mwingine!!! Na chuo kasoma SAUT!!
Duh!

Inabidi kabla ya kipindi wahusika wote waonyeshe vyeti kwanza ndio waendelee na kipindi
 
*Katibu wa Shirikisho la Wamiliki wa Shule Binafsi Arusha,L.Ma ameviambia vyombo vya
Habari jijini Arusha kuwa,
Polisi haijawarejeshea
Sh18m waliyotaka
kuikabidhi Lucky Vincent.
 
*Katibu wa Shirikisho la Wamiliki wa Shule Binafsi Arusha,L.Ma ameviambia vyombo vya
Habari jijini Arusha kuwa,
Polisi haijawarejeshea
Sh18m waliyotaka
kuikabidhi Lucky Vincent.
Mhhhhh!!!!
 
Back
Top Bottom