Tetesi: Mmoja kati ya waandishi atakayefanya mahojiano na Makonda Starvt ana vyeti vya kughushi!!!

Kuna taarifa inasambaa mitandaoni kwa kasi kutoka kwa mtu anayejitambulisha kwa jina la bundala,mtumishi wa sahara media akidai kwamba mahojiano yatakayofanyika na bwana bashite hapo STARTV yanaweza kumuumbua mmoja ya watangazaji ambaye inasemekana ana vyeti feki!

Katika andiko hilo ametahadharisha mambo mengi pamoja na hilo

Waandishi walioandaliwa kufanya mahojiano na makonda,kwa mujibu wa tangazo linalozunguka mitandaoni, ni Leonard Mapuli na Aloyce Nyanda

Ni nani kati yao ana vyeti feki?
Kwa hiyo unatakaje
 
nadhani jicho la tatu la watanzania halioni mambo mengine.
huu ni ugonjwa kwa taifa.
[HASHTAG]#mimimalenga[/HASHTAG] .
 
Watu tunao tumia fake ID twajifanya kwamba tunafahamu sana watu wenye Vyeti visivyo halali! hata wewe unavyeti fake! Unafiki
 
mpaka mbowe nauhakika ataangalia mubashara star TV kumcheki makonda
 
Back
Top Bottom