inspector laddy
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 761
- 258
Ungewaweka bakora,unakuta chumba kimoja,watu wana watt wanne,mtt ataacha kujifunza ujinga?
Mhhhhhhhh kulea watoto siku hizi kazi sana
Kwani zamani wazee wetu walikuwa hawachezi baba na mama? Mimi mwenyewe nilikuwa napenda sana kombolela na jinsi tofauti, inatokea mnakutana mafichoni wawili tu, hapo hakuna kutoka hata mkikombolewa hakuna kutoka basio wataita mpaka wanachoka wenyewe. Hahahahaaaaaa... enzi ile tamu haitorudi kamwe.
tatizo sio angekua mtoto wake..ishu ni kwamba ameleta mada ku raise awareness ya malezi bora kwa watoto wetu...Je! Mmoja WaPo angekua mwanao ungepata muda wa kuwapiga picha? Tumia akili yako kwa usahihi bab! Kwanza una umri gani?
Jana was chatting na mshkaji, ana two kids na wote wana iPhones, 16 and 17 yrs olds. Yaani management ya hizo iPhones ni kama fbi. Anawamonitor kwa gps. Kuna siku mmoja alizima gps na baba akajua after two days, voda walihusika kusoma signal za minara na akampokonya simu 2 months. Yaani huu ulezi wake ingebidi afanye outsourcing aisee.
Ungewaweka bakora,unakuta chumba kimoja,watu wana watt wanne,mtt ataacha kujifunza ujinga?
duh itabidi awatafute ultimate security kwa style hiyo ya kumoniter watoto kwa gps ni noma.
nacharaza vizuri sana!!siku hizi utachapa mtoto wa mtu?