Mmm, eti Paja na Firigisi Vya Baba. . .

Mmm, eti Paja na Firigisi Vya Baba. . .

.
Leo nimepata jibu ... nilikuwa najiuliza sana why ulichagua ID ya Kongosho!

Ha! ha! ha! ... inaonekana ulipokuwa mdogo kwenu Baba alikuwa anapewa Paja na Firigisi!

... wewe ulikuwa unaachiwa kula kongosho aka pancreas mpaka ukaamua ID yako ya JF iwe Kongosho.
.
 
Last edited by a moderator:
Kuna hg alifukuzwa kazi kisa kala kile KIMKIA CHA KUKU (juu ya SABURI la kuku); kumbe kile kimnofu ndiyo uilkuwa ugonjwa wa Baba Mwenye Nyumba; kila kuku akichinjwa firigisi na hicho KIMKIA anawekewa!!!!! Bahati mbaya hg naye alikuwa anakipenda KIMKIA saaana....Alipewa onyo mara mbili; mara ya tatu kilipopotea na AJIRA YAKE IKATOWEKA!!!!

Nyama ya kuku bado kuna baadhi ya familia ni KITU KIKUBWA NA KINA PROTOCAL ZAKE KATIKA KULIWA!!!!!
AHAHAAA but kile kisehemu huwa ni cha maza house! kuku haliwi ovyoovyo mkuu maybe mjini huku bush ni bonge la isssue,unaweza kuitiwa kikao cha ukoo hivihivi ukigawa vibaya
 
Mmmm!mila hizi sikukutana nazo sijui ingekusje nnavopenda mapaja lol!

ahahaaa mi mapaja nimeanza kuyala kwa hela yangu best
siku na zali sana ni shingo
siku zingine miguu ,au kichwa
ukute ni jike kachinjwa hana hata kichwa,unaishia kula macho...
 
Nani kakwambia yameisha? Mimi mwenyewe nina about 30yrs ila wife akipika cha kwanza kabisa kuniwekea ni firigisi na anajua nisipoikuta patachimbuka bila jembe...kuhusu vidali na makalio ya kuku hayo hayanisumbui kabisa. anakula watoto pamoja na mtoto mkubwa yaani my wife!
Kumbe ulilelewa katika familia ambayo siku akichinjwa kuku ni mtafutano na mgawanyo wa nani anakula hiki na nani kile!Haya Mtego wa noti endelea nayo maana mtu kuacha asili yake wakati mwingine ni ngumu sana.
 
Mimi napenda shingo na vipapatio yaani nisipokula hivyo naona sijala kuku. Na bahati nzuri wote ndani ndio hawavipendi navifaidi hivyo
 
ahahaaa mi mapaja nimeanza kuyala kwa hela yangu best
siku na zali sana ni shingo
siku zingine miguu ,au kichwa
ukute ni jike kachinjwa hana hata kichwa,unaishia kula macho...
Hhahahhaha,
Mie tangu mdogo ilikuwa tukishaanza tu kula baba yangu ananikabidhi paja naanza kuhangaika nalo lol!
Mpaka kesho mie na mapaja dam dam ndio najisikia nimekula kuku!
 
mf. . .mie paja naona kawaida, but kidari na firigisi mf, . .hunitoi, nakumbuka nikiwa home mwenyewe baba ake na Don Mangi lazma atengewe kidari chake, kikwetu ni heshima wazee kula vidari, mama ake na Don hana sana preference anaeza leo ale kipapatio, kesho mgongo kesho kutwa shingo, but na ye hupenda pia firigisi.
 
kongosho, hakuna ch paja la mkubwa wala la baba...

vijana hususan wanaokuwa wanahitaji minofu kwa ukuaji wao....

umenikumbusha kipindi tukiwa wadogo...... mama alipata nafasi ya kwenda nje kuongeza elimu na kutupeleka mwanza kwa mjomba..... kwanza kule

1. watoto wote wakati wa kula tunakaa mkekani, kasoro mjomba, mkewe na watoto wao 3 wao ndo wanakaa mezani......

2. mwendo wa kula kwenye sinia finyango moja moja mapochopocho yote meza kuu, na ni marufuku kugusa... na unajua sheria ya kula kwenye sinia? spidi yako ndo kushiba kwako

3. tukila kuku ujue mwendo wa ngwala na vipapatio

4. mbaya zaidi tukapata tetekuwanga uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tuliiba simu kumpigia mama tunaumwa karibia tutakufa....

the gud thing ni kuwa mama alipokuja kutuona tuliogeshwa, tukapakwa dawa, tukaka mezani na kupakuliwa minofuuuuuu si kujichana masamaki, kujichana mapaja ya kuku tetetete ingawa tuliambiwa firigisi ya baba, maini ya watoto mweeeh siku chache haooooooooo kwenye treni dar...ikabidi mdingi atulee mwaka mzima kwikwikwikwi

Kongosho umenikumbusha mbaaali sana yaani natabasamu mwenyewe hapa, wadau wananishangaa... sorry kwa kutoka nje ya mada
 
Last edited by a moderator:
kongosho, hakuna ch paja la mkubwa wala la baba...

vijana hususan wanaokuwa wanahitaji minofu kwa ukuaji wao....

umenikumbusha kipindi tukiwa wadogo...... mama alipata nafasi ya kwenda nje kuongeza elimu na kutupeleka mwanza kwa mjomba..... kwanza kule

1. watoto wote wakati wa kula tunakaa mkekani, kasoro mjomba, mkewe na watoto wao 3 wao ndo wanakaa mezani......

2. mwendo wa kula kwenye sinia finyango moja moja mapochopocho yote meza kuu, na ni marufuku kugusa... na unajua sheria ya kula kwenye sinia? spidi yako ndo kushiba kwako

3. tukila kuku ujue mwendo wa ngwala na vipapatio

4. mbaya zaidi tukapata tetekuwanga uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tuliiba simu kumpigia mama tunaumwa karibia tutakufa....

the gud thing ni kuwa mama alipokuja kutuona tuliogeshwa, tukapakwa dawa, tukaka mezani na kupakuliwa minofuuuuuu si kujichana masamaki, kujichana mapaja ya kuku tetetete ingawa tuliambiwa firigisi ya baba, maini ya watoto mweeeh siku chache haooooooooo kwenye treni dar...ikabidi mdingi atulee mwaka mzima kwikwikwikwi

Kongosho umenikumbusha mbaaali sana yaani natabasamu mwenyewe hapa, wadau wananishangaa... sorry kwa kutoka nje ya mada

Umefungukaje. . .
 
Last edited by a moderator:
Kwa kifupi mimi nyumbani kwangu sihitaji mila yeyote hasa kwenye vyakula, kama nimepotoka basi Mungu anisamehe, sikubali kurithishwa kila aina ya upotofu, mila nyingine ni za kijinga kabisa.
 
ha ha ha, na mie ni kidari na miguu tu.

Sasa huwa najistukia labda namzoea vibaya asije akanitia aibu ugenini.

Aisee Kongosho, hatupaswi kukaa mimi na weye aisee; maana hiyo supu ya miguu itatukosanisha. LOL

Mwangu zamani alikuwa anapenda bastola (wing/kipapatio) siku hizi ni paja tu. Kwangu msichana wa kazi ndio anakula paja (mwanangu asipokuwepo) mimi ni miguu (coz of supu) na kidali (white meat) tu.
 
Last edited by a moderator:
kwa hiyo wala kuku wa kizungu wa sauzi?

Vipi ukimkuta bintiyo akata jack daniels?

Unajali?

Kwetu nyumba nzima baba, watoto( tumefata kwa baba) na beki tatu twala Mapaja tuuu, nyama zengine hatuzitaki katuuuuu. Mama Lara tu ndo anapenda vinyama vidogo vidogo kama shingo, vipapatio na mgongo. Kuondoa purukushani ya mipaja tunanunua kuku MAPAJA TUPU pale shoprite. Basi hapo kila mtu na MPAJA wake, tambarareeeeee.
 
we nae siku hizi umekuwa mpana kama pazia la leba?

Una vijineno, teh teh teh.

Hizo kongoro anazopewa baba na dada ni zipi?

Najua nakotaka waende, ila sipendi washindwe kuishi na jamii inayowazunguka.

Ukijua kuishi na watu maisha malainii

mhh! nilipoona heading nilijua mama Kongosho anaongelea mambo ya 18+ lol. sie kwetu hatuna hayo mambo, as long as hatumwekei shingo au vimikono kwenye hotpot all is okay. I'm suprised kusikia hii ni issue sehemu zingine since sijaona kwenye nyumba nilizokaa. kuhusu how kuwalea wanao wawe na 'adabu' just fahamu utaratibu wa sehemu unayotaka kwenda/kuwapeleka and hakutakuwa na shida.

edit: kuongezea at times dad huja na nyama yake personal for him ambayo wengine hatuili like kongoro, kichwa etc
 
tena kuna wengine hadi kochi la baba lipo
wengine hawakalii kabisa.

hili swala linatokeaga tu kutokana na mama kumpendelea baba ale kitu fulani,hivyo unakuta ni kama rule,mara nyingi wababa huwapa watoto wao wadogo,ili na wao wafurahi...........swala lingine ni ile siti ya mzee kwenye dining table,unakuta baba anakaa sehemu hiyohiyo,na akiwepo hamna anayekaa pale,hilo ndo nashindwa kuelewa.
 
mie ni wa kienyeji mno kula hao vyuku.

Nataka nikila kuku, kwanza naanza kwa kumkimbizaaa hadi majirani wanione.
Baada ya hapo namchinja mwenyewe na kumnyonyoa ndio naanza kumpika.

Sio mpnzi wa bloila kabisa.

Lakini swali, je hizo adabu zina mantiki?
Naweza fika baa nikapiga kilauri na mtu asinijali?

Siku hizi Konnie, kuku anauzwa kulingana na unachohitaji...ukitaka kilo moja ya shingo utapata, kadhalika firigisi, paja, kongosho za kuku n.k n.k.....ila mie huwa napenda supu ya **** la kuku, pale ambapo huwa panaota manyoya ya mkia...
 
afadhali wewe umekuwa mkweli.

Akina 'ejifuru jagonga e meli' ukienda kule ukaanza kwa kula kichwa cha samaki wanakususia msosi.

Haya mambo kuna sehemu bado yapo.

Nani kakwambia yameisha? Mimi mwenyewe nina about 30yrs ila wife akipika cha kwanza kabisa kuniwekea ni firigisi na anajua nisipoikuta patachimbuka bila jembe...kuhusu vidali na makalio ya kuku hayo hayanisumbui kabisa. anakula watoto pamoja na mtoto mkubwa yaani my wife!
 
kongosho, hakuna ch paja la mkubwa wala la baba...

vijana hususan wanaokuwa wanahitaji minofu kwa ukuaji wao....

umenikumbusha kipindi tukiwa wadogo...... mama alipata nafasi ya kwenda nje kuongeza elimu na kutupeleka mwanza kwa mjomba..... kwanza kule

1. watoto wote wakati wa kula tunakaa mkekani, kasoro mjomba, mkewe na watoto wao 3 wao ndo wanakaa mezani......

2. mwendo wa kula kwenye sinia finyango moja moja mapochopocho yote meza kuu, na ni marufuku kugusa... na unajua sheria ya kula kwenye sinia? spidi yako ndo kushiba kwako

3. tukila kuku ujue mwendo wa ngwala na vipapatio

4. mbaya zaidi tukapata tetekuwanga uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tuliiba simu kumpigia mama tunaumwa karibia tutakufa....

the gud thing ni kuwa mama alipokuja kutuona tuliogeshwa, tukapakwa dawa, tukaka mezani na kupakuliwa minofuuuuuu si kujichana masamaki, kujichana mapaja ya kuku tetetete ingawa tuliambiwa firigisi ya baba, maini ya watoto mweeeh siku chache haooooooooo kwenye treni dar...ikabidi mdingi atulee mwaka mzima kwikwikwikwi

Kongosho umenikumbusha mbaaali sana yaani natabasamu mwenyewe hapa, wadau wananishangaa... sorry kwa kutoka nje ya mada

Wanachosahau tu ni kuwa, watoto hawasahau kitu........why kuwagawa watoto hivyo kama umekubali kukaa nao? Wananiudhi kweli watu wa hivi.......anyways, sometimes it ends up making the kids even stronger, na hao wanaolishwa mapaja wanachemshaje?
 
we nae siku hizi umekuwa mpana kama pazia la leba?

Una vijineno, teh teh teh.
ha ha. na bado sijatimiza hata mwaka!

.

Hizo kongoro anazopewa baba na dada ni zipi?
only for dad! dada/mama hawali na mie sipendi maana zinaweza kuninenepesha which i don't want.
Najua nakotaka waende, ila sipendi washindwe kuishi na jamii inayowazunguka.

Ukijua kuishi na watu maisha malainii
when I lived with my rafiki in Arusha during summer-09, nilibehave kama wao pale nyumbani kwao. it was really easy, take a day or two na the rest zitaenda vizuri. Towards the end niliweza kudeka kama sikupendelea mboga (hasa za majani) na nilipata dagaa kama substitute
 
ha ha ha ha, sie kuku ilikuwa hadi siku ya graduesheni au ubarikio.

Kule ni samaki tu, sato.

.
Leo nimepata jibu ... nilikuwa najiuliza sana why ulichagua ID ya Kongosho!

Ha! ha! ha! ... inaonekana ulipokuwa mdogo kwenu Baba alikuwa anapewa Paja na Firigisi!

... wewe ulikuwa unaachiwa kula kongosho aka pancreas mpaka ukaamua ID yako ya JF iwe Kongosho.
.
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha, tena unaombea kuku awe na kichwa kikubwa kama ng'ombe.

Yaani nimecheka jamani.
Eti siku una zali ni shingo?

ahahaaa mi mapaja nimeanza kuyala kwa hela yangu best
siku na zali sana ni shingo
siku zingine miguu ,au kichwa
ukute ni jike kachinjwa hana hata kichwa,unaishia kula macho...
 
Back
Top Bottom