Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Tetesi za mmiliki wa Kiwira kufunga kampeni za CCM zimetawala jiji la Arusha na maswali mengi wananchi wanajiuliza juu ya Mheshimiwa huyu Rais Mstaafu naye saa hizi za majeruhi anatafuta nini kama siyo kukwangua na hivyo kutonyesha vidonda vilivyoanza kupona?