Habari! jamani naomba mnieleweshe kidogo au kwa mapana yake katika hili. Napenda kujua ni kwa namna gani Mmiliki wa facebook anavyonufaika? mfano kwa mimi mtumiaji wa kawaida mbaye huweka kifurushi changu cha MB 100 na kuanza kuperuzi fb,
yani huyo mmiliki ananufaikaje kwa mimi kufanya hivyo? . Kuna mtu aliniambia kuwa anapata faida kutokana na matangazo lakini nikajaribu kuwaza mbona mi nikiweka tangazo langu fb sidaiwi au ni kwa yale makampuni makubwa kama samsung,mitandao ya simu,etc. Naomba mnipe knowledge hapo jamani! Asante.
yani huyo mmiliki ananufaikaje kwa mimi kufanya hivyo? . Kuna mtu aliniambia kuwa anapata faida kutokana na matangazo lakini nikajaribu kuwaza mbona mi nikiweka tangazo langu fb sidaiwi au ni kwa yale makampuni makubwa kama samsung,mitandao ya simu,etc. Naomba mnipe knowledge hapo jamani! Asante.