Mmhh!

Uchokozi huo...
Embu lete ile nyingine yenye TZ...
 
tehetehe!hi kali!tz inawezekana hawakuichora kabisa!
 
Tz is in deep fcknshit kilakitu kwetu ni shit mikataba mibovu,rushwa that why we're in deep fcknshit
 
Haaaaa Haaaa.. we're in real shittt wakuuuu .... !!!! lol
 
WUUU....Wi,TZ is sunk,labda tufanye bonge la bisection! Dah,hii kali mpaka mbavu zimeniuma.
 
Itakuwa iko ndani ebu mwambieni ainame.
 
Somalia na kile KIPEMBE chake, ndiyo imo ndani kabisa, hahahaaaaa........

Yemeni pia inafaidi. Madascar? Tanzania bara walau ina nafuu ila Zanzibar na Comoro? Ndiyo maana hadi Tundu Lisu kawahurumia na kasema waachiwe mafuta wachimbe na wapate kipato maana wako inside......
 
ipo kwenye joto kali, inapumuliwa na gesi yenye kabon monoksaid a.k.a rushwa, mafisadi, wezi etc
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…