Naona hutawasahau wasukuma tangu siku ileee!Me Nilijua Wasukuma![]()
Hiyo mbeya ya mwaka 80s labda
Acha uongo .....
Brother brother,
Chris Lukosi ni Mhehe, na Wahehe na Wanyakyusa ni watani, so alikuwa akifanya utani wa jadi.hii picha niliiona kwenye a/c ya CHRIS LUKOSI kule facebook nilicheka sana!