Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Yote anayoyaongelea ni kama hayatekelezeki na alivyo kichekesho anashindwa kuwataja watu majina kwa hiyo mleta mada nawe umetumia vibaya jina la Lowassa kwa vile Nape ameogopa kutaja hilo jina kuwa linatakiwa kujivua gamba
Huyu mpuuzi hana asemacho hapa but namwelewa alikuwa anaongea na wana CCM wenzake so no wonder maana level of their thinking imefikia kikomo .