Hapa sikubaliani na wewe kabisaaaaaa, unataka kusema watoto wenye kulelewa na wazazi wa2 sio watundu? Kuna article nilisoma hivi karibuni inasema watoto wenye kulelewa na mzazi mmoja (hasa kama ni wa kike) wana develop spirit on independance na a better respect for women sababu wanaelewa women can do just as good as men.<br />
Malezi mabaya ni kote tu.
Yeah, you are right! Hivi yule VEMA anao wote wa2 enhe?