St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
- Thread starter
- #21
hawa ng'ombe wapo na huku kwetu afirika au ni hukohuko udachini tu?
Ng'ombe matata jamani eee!!!!
Mkuu hawa ng`ombe ukiwaleta Afrika wanakufa,hali ya hewa inawakataa nimeshajaribu mara mbili. Labda uwatafutie cross breed na dume la nyati.