Mmeangalizwa Kibra na sasa macho yote yapo Idarani

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,223
11,287
Igweeeeeeeee, hii ni zaidi ya moto ask me not... 🤐😭

Ni hivi, baada ya ule muswada wa wana idara wengi wakapiga makofi kumbe yajayo ni furaha zaidi.

Baada ya kujua wanoko hawa kupitia vijana wanaonukia na kulamba maji ya bendera kwa Uhai ama kifo, muswada ukapelekwa bungeni. Kitalu wakapitisha kwa kishindo.

Sasa baada yakupitisha na sheria zenu kuanzia idara hiyo ipo chini ya state. From Hayati Baba to date idara ipo state. Why? wanajuwa waliopitisha.

Sasa tunapeleka muswada wa Bandari. Je, nani ataliponya Taifa? Who is behind this?

“Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila Mazuri" RIP Baba.
 
Igweeeeeeeee hii ni zaidi ya moto ask me not... 🤐😭
Nihivi nasema ni hivi... Baada ya ule muswaada wa wana idara wengi wakapiga makofi kumbe yajayo ni furaha zaidi.
Baada ya kujuwa wanoko hawa KUPITIA vijana wanaonukia nakulamba maji ya bendera kwa Uhai ama kifo muswaada ukapelekwa bungeni. Nakitaluni wakapitisha kwa kishindo...
Sasa baada yakupitisha na sheria zenu kuanzia idara hiyo ipo chini ya state... From Hayati Baba to date idara ipo state. Why wanajuwa walio pitisha.
Sasa tunapeleka muswaada wa Bandari je nani ataliponya Taifa? Who is behind this? 😭🤐😭🤐😭🙏
Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila Mazuri" RIP Baba.
Wakati mwingine unaogopesha Mzee, kiufupi hatupo salama
 
Wakati mwingine unaogopesha Mzee, kiufupi hatupo salama
kauli ya incharge hata madogo smart hawazingui tena maana mwanzoni walikuwa na nguvu ila hapo ndo imepokwa kisanii na hili la sehemu ya kutua ngalawa nalo akinena anenavyo wale vijana hawana cha kumfanya incharge kwa kuwa washakatwa pumzi. mwanzoni walitutetea sana behind the seen bila sisi kuelewa nasemaje nasemaje narudia tena nasemajee mbombo ngafu.
 
bungeni. Nakitaluni wakapitisha kwa kishindo...
Sasa baada yakupitisha na sheria zenu kuanzia idara hiyo ipo chini ya state... From Hayati Baba to date idara ipo state. Why wanajuwa walio pitisha.
Sasa tunapeleka muswaada wa Bandari je nani ataliponya Taifa? Who is behind this? 😭🤐😭🤐😭🙏
Kwamba yalikuwa maandalizi!!!
 
Igweeeeeeeee hii ni zaidi ya moto ask me not... 🤐😭
Nihivi nasema ni hivi... Baada ya ule muswaada wa wana idara wengi wakapiga makofi kumbe yajayo ni furaha zaidi.
Baada ya kujuwa wanoko hawa KUPITIA vijana wanaonukia nakulamba maji ya bendera kwa Uhai ama kifo muswaada ukapelekwa bungeni. Nakitaluni wakapitisha kwa kishindo...
Sasa baada yakupitisha na sheria zenu kuanzia idara hiyo ipo chini ya state... From Hayati Baba to date idara ipo state. Why wanajuwa walio pitisha.
Sasa tunapeleka muswaada wa Bandari je nani ataliponya Taifa? Who is behind this? 😭🤐😭🤐😭🙏
Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya ila Mazuri" RIP Baba.
Porojo tena
 
kauli ya incharge hata madogo smart hawazingui tena maana mwanzoni walikuwa na nguvu ila hapo ndo imepokwa kisanii na hili la sehemu ya kutua ngalawa nalo akinena anenavyo wale vijana hawana cha kumfanya incharge kwa kuwa washakatwa pumzi. mwanzoni walitutetea sana behind the seen bila sisi kuelewa nasemaje nasemaje narudia tena nasemajee mbombo ngafu.
Mmh
 
MENE, MENE, TEKELI & PERESI.

Jumba bovu limewekwa kimkakati ili lipate kuanguka pamoja naye. Naye ameingia kichwa kichwa, na ni lazima aanguke tu. Watch out!
Kwa kweli aanguke nalo tu.
Hatutaki kuendelea kuongozwa na viongozi vilaza wenye upeo na maono finyu kama ya kuku!
We don't like shortsighted leaders anymore.
Period.
 
Back
Top Bottom