Baada ya sherehe iliyomhusu, mme wangu June 2012, alitoa ofa ya chakula cha jioni kwa familia na wageni wetu. Tulipofika pale hotelini tuliwakuta wadada wa2 wa kiafrika, (Ile ni hotel ya kichina). baada ya dk7 hivi wale watoto wakaondoka kwa miondoko iliyotufanya tucheke.
juzi nimesaidiwa na wajuzi wa mambo ili niweze kumwona aliyeongea na mme wangu saa 5 za usiku na kisha kuahidiana kukutana airport. Yule binti akamwelekeza mwenye kunisaidia (kijana kwa kutumia simu ya kimapenzi, yule kijana alijifanya amewahi kumwana na alimpenda) kuwa yeye alikuwa darasani ktk chuo kimoja hivi. tukaenda huko. Nilichoka sana baada ya kumkumbuka dada huyu kuwa ndiye aliyekuwa hotelini na mwenziwe. kwani hata hapo chuoni walitoka wote wawili.
Lililonisukuma kusema ni hili. inaniuma mme wangu kwa miaka 21 sasa (ondoa ya uchumba) amenigeuza DISPLAY
na wewe mgeuze display
Kongosho, this is our famous Mke ya jaji; ushauri mlimpa wakuzidi tu. So nafikiri anahitaji kufanya maamuzi tu!
I think Mbilia kinamna ni mtu aliyekuja kumchafua mtu na hakuna cha mume wala nini
something fishy stinks here
Baada ya sherehe iliyomhusu, mme wangu June 2012, alitoa ofa ya chakula cha jioni kwa familia na wageni wetu. Tulipofika pale hotelini tuliwakuta wadada wa2 wa kiafrika, (Ile ni hotel ya kichina). baada ya dk7 hivi wale watoto wakaondoka kwa miondoko iliyotufanya tucheke.
juzi nimesaidiwa na wajuzi wa mambo ili niweze kumwona aliyeongea na mme wangu saa 5 za usiku na kisha kuahidiana kukutana airport. Yule binti akamwelekeza mwenye kunisaidia (kijana kwa kutumia simu ya kimapenzi, yule kijana alijifanya amewahi kumwana na alimpenda) kuwa yeye alikuwa darasani ktk chuo kimoja hivi. tukaenda huko. Nilichoka sana baada ya kumkumbuka dada huyu kuwa ndiye aliyekuwa hotelini na mwenziwe. kwani hata hapo chuoni walitoka wote wawili.
Lililonisukuma kusema ni hili. inaniuma mme wangu kwa miaka 21 sasa (ondoa ya uchumba) amenigeuza DISPLAY
Utakuta vimada kwa vimada wanachafuana...mke halali wa Mheshimiwa jaji kajituliza ndani...Si unajua tena mtu akijua buzi lake linakaribia kukata kamba; Ila ukweli lazima utakuwepo though anaye report kuwa wife anaweza asiwe wife ila yuko well informed kwa kuwa ni kimada.
Pole Mbilia; kwa kuwa tunatumia fake IDs hapa ni ngumu kukuamini kama kweli wewe ni mke halali....maana tulishakushauri na hujatupa feedback unaleta uzi mwingine uso na kichwa wala miguu.
Ukizingatuia kama ni kweli ulisema una miaka 50...muda wa kufuatilia upuuzi huu unapata wapi...wewe tulia kama hauko tayari kufanya maamuzi magumu.
Unajua mwanaume mwenyevimada wngi ni rahisi wao kwa wao kugombana na mwingine kupozi kama wife; ili kuwalipua wenzie.
Utakuta vimada kwa vimada wanachafuana...mke halali wa Mheshimiwa jaji kajituliza ndani...Si unajua tena mtu akijua buzi lake linakaribia kukata kamba; Ila ukweli lazima utakuwepo though anaye report kuwa wife anaweza asiwe wife ila yuko well informed kwa kuwa ni kimada.
Pole Mbilia; kwa kuwa tunatumia fake IDs hapa ni ngumu kukuamini kama kweli wewe ni mke halali....maana tulishakushauri na hujatupa feedback unaleta uzi mwingine uso na kichwa wala miguu.
Ukizingatuia kama ni kweli ulisema una miaka 50...muda wa kufuatilia upuuzi huu unapata wapi...wewe tulia kama hauko tayari kufanya maamuzi magumu.
Unajua mwanaume mwenye vimada wngi ni rahisi wao kwa wao kugombana na mwingine kupozi kama wife; ili kuwalipua wenzie.
Nina mfano wa mume wa rafiki yangu...aligombanisha vimada wakati mkewe masikini ya Mungu anaangalia tu picha inavyochezwa kwa kuwa ni mpole kupindukia.
Nashukuru sana kwa michango yenu. Ijulikane kuwa mtu akimtaja mtu jua mtu huyo huko sahihi. Pia michango yenu yote ndiyo naifanyia kazi. Sikujua kuwa mabaraza ya upatanishi yanahitaji kwanza barua toka mwenyekiti wa mtaa, yote ni ushauri wenu mzuri sana.
Ila si vibaya kuwajulisha wenye ndoa kuwa wajue kuwa wanaweza kugeuzwa display na wenzi wao wasio waaminifu. Na pia jambo hili linakuwa si jema. Kwa anaeniambia sina la kufanya, kwa taarifa nina miradi mingi mno ambayo naajili watu
kufanya ili mimi nipate mda zaidi wa kujiendeleza na si kukaa ofisi tuuu, elimu yangu si kwa ajili ya kuajiliwa bali kuajiri.
Miradi kama nyumba za kupangisha unataka nikawaangalie wapangaji?
Pia hapa sipo kumchafua mtu, anyejihisi nimemchafua nasikitika kusema kajichafua mwenyewe. Ila dhambi usiitetee iseme kama waasemavyo wahubiri ili isifanywe tena.
Baada ya sherehe iliyomhusu, mme wangu June 2012, alitoa ofa ya chakula cha jioni kwa familia na wageni wetu. Tulipofika pale hotelini tuliwakuta wadada wa2 wa kiafrika, (Ile ni hotel ya kichina). baada ya dk7 hivi wale watoto wakaondoka kwa miondoko iliyotufanya tucheke.
juzi nimesaidiwa na wajuzi wa mambo ili niweze kumwona aliyeongea na mme wangu saa 5 za usiku na kisha kuahidiana kukutana airport. Yule binti akamwelekeza mwenye kunisaidia (kijana kwa kutumia simu ya kimapenzi, yule kijana alijifanya amewahi kumwana na alimpenda) kuwa yeye alikuwa darasani ktk chuo kimoja hivi. tukaenda huko. Nilichoka sana baada ya kumkumbuka dada huyu kuwa ndiye aliyekuwa hotelini na mwenziwe. kwani hata hapo chuoni walitoka wote wawili.
Lililonisukuma kusema ni hili. inaniuma mme wangu kwa miaka 21 sasa (ondoa ya uchumba) amenigeuza DISPLAY
POLE mwaya, najua maumivu yake yakoje.. watu hawajui uchungu na maumivu ya kusalitiwa yakoje mpaka na wao yawakute japo mara moja ndio wataelewa..
kaa chini na mume wako umueleze mwanzo mwisho..tumia busara, ongea kwa upole sana na wala usitumie ukali na lugha chafu..kama kwa sasa una hasira, basi subiri mpaka hasira zitakapopungua..ni vizuri maongezi hayo ukayafanya nje ya nyumbani kama hoteli hivi..ikibidi mlale hukohuko siku hiyo...
mwambie kama yuko tayari kuendelea na ndoa basi amuache huyo binti..mpe masharti kadhaa ambayo unaona yanafaa...endelea kumfuatilia baada ya hapo ili kuona km amebadilika au la.
kama akikubali basi msamehe mume wako, na muendelee kuishi kama mke na mume..wakati mwingine ni shetani tu mamangu, na visichana vya siku hizi huwa havisubiri kutongozwa bali vinajipitishapitisha kwa waume zetu, hasa wakiona kuna chochote(which is obvious)
usimuache mume wako wa miaka 21, ni muda mrefu, mkalishe chini na muongee, muyamalize wenyewe..ninyi mumeshakuwa watu wazima...nawe kwa upande wako tazama madhaifu yako, inawezekana kuna kasoro 2-3 ambazo zimemboa akaamua kwenda nje..mwambie mumeo akueleze mapungufu yako ujirekebishe..
Hayo ni majaribu tu ya maisha ya ndoa mamangu, usikate tamaa, amini nakwambia mkivuka kivuko hicho mtaishi maisha ya amani sana(km mumeo atajirekebisha)..kila mmoja kati yenu atakuwa makini na upande wake na kuangalia mapungufu yake na kujirekebisha..mara nyingi ndoa inakuwa imara sana baada ya misukosuko mikubwa kama hiyo..