snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,704
- 23,633
MBILIA kweli katika ushauri wa yoote tunayokushauri hujaona wa kuufanyia kazi mamii!mbona unanitisha antie,
hujiamini kabisa!unalalalmika as af wewe si mke halali wa huyo jaji!
mwalimu wangu wa philosophy alinifundisha kitu kinaitwa APPEAL TO PITY!
hizi pities zetu humu hazikusaidii if at all that what yu need from us!
nilikupa njia nyingi sana za kufanya!
mwanaume anayekufikisha hapa kihisia unajali nini kama kakufanya display au kuboard kwa kimada wake!mbona yapo mengi sana ambayo ameshakuumiza kwayo kiasi ya hili kukumiza kiasi hiki!
unataka tukusaidie vipi!?
mimi naumiza zaidi kuhusu haya unayopost hapa yatafanya young marrieds washindwe kukabili changamoto za ndoa zao wakiamini katika haya unayoyazungumza kuhusu mume wako na jinsi unavolichukulia hili swala\
kila mtu akitaja mume wake kaongea na nani kwenye simu na amezaa na nani,.au amefanywa nini na mumewe ndo dunia inakuwa kitu gani sasa
marehemu mama yangu aliwahi kuniambia kitu nikiwa mdogo sana lakini sasa kwenye maisha haya ndoa nakielewa
aliniambia hivi ''
''..........(jina langu)katika maisha shida yako usiivalie chupi nyekunde katika kisalfeti''
usemi huo sikuuelewa by that tyme lakini sasa nikiwa mama,mke,mwalimu,dada,wifi,mkamwana,mdogo,rafiki,shosti ndo naelewa aliloniambia mama yangu!R.I.P mum!
hujiamini kabisa!unalalalmika as af wewe si mke halali wa huyo jaji!
mwalimu wangu wa philosophy alinifundisha kitu kinaitwa APPEAL TO PITY!
hizi pities zetu humu hazikusaidii if at all that what yu need from us!
nilikupa njia nyingi sana za kufanya!
mwanaume anayekufikisha hapa kihisia unajali nini kama kakufanya display au kuboard kwa kimada wake!mbona yapo mengi sana ambayo ameshakuumiza kwayo kiasi ya hili kukumiza kiasi hiki!
unataka tukusaidie vipi!?
mimi naumiza zaidi kuhusu haya unayopost hapa yatafanya young marrieds washindwe kukabili changamoto za ndoa zao wakiamini katika haya unayoyazungumza kuhusu mume wako na jinsi unavolichukulia hili swala\
kila mtu akitaja mume wake kaongea na nani kwenye simu na amezaa na nani,.au amefanywa nini na mumewe ndo dunia inakuwa kitu gani sasa
marehemu mama yangu aliwahi kuniambia kitu nikiwa mdogo sana lakini sasa kwenye maisha haya ndoa nakielewa
aliniambia hivi ''
''..........(jina langu)katika maisha shida yako usiivalie chupi nyekunde katika kisalfeti''
usemi huo sikuuelewa by that tyme lakini sasa nikiwa mama,mke,mwalimu,dada,wifi,mkamwana,mdogo,rafiki,shosti ndo naelewa aliloniambia mama yangu!R.I.P mum!
Last edited by a moderator: