johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,108
Paul Pelosi amevamiwa nyumbani kwake na mtu asiyejulikana Pelosi ni mume wa Nancy ambaye ni Spika wa bunge la Marekani
Source: BBC
Source: BBC
Nikajua mume wa BetinaPaul Pelosi amevamiwa nyumbani kwake na mtu asiyejulikana Pelosi ni mume wa Nancy ambaye ni Spika wa bunge la Marekani
Source: BBC
Hivi ameolewa kweli?Nimekuja mbio nikidhani mume wa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania...
Na watoto juu anao...sio wa mchezo mchezoHivi ameolewa kweli?
Ingekuwa hapa nchini maneno yangekuwa mengiiiii ...ooh wasiojulikana. Niliwahi kusema na naendelea kuamini usalama wa raia Tanzania uko juu mno. Imagine mume wa Spika Marekani anapigwa...nimefuatilia ile habari katika mitandao tofauti nimeshtushwa#Tuvipongeze vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.🙏🙏🙏Paul Pelosi amevamiwa nyumbani kwake na mtu asiyejulikana Pelosi ni mume wa Nancy ambaye ni Spika wa bunge la Marekani
Source: BBC
Ungeandika kabisa Spika Pelosi kwenye heading acha kuchanganya watu... Almanusura nikanunue JD nishangilie nikijua ni wa yule mchawi Betina.Paul Pelosi amevamiwa nyumbani kwake na mtu asiyejulikana Pelosi ni mume wa Nancy ambaye ni Spika wa bunge la Marekani
Source: BBC
Basi kuna wanaume wenzetu wana moyo wa chuma aiseeNa watoto juu anao...sio wa mchezo mchezo
Polisi wa bongo anakulinda nini wewe kima? Mfano nikitaka kuja kukuchoma na spoku hapo kwako nani atanizuia?Ingekuwa hapa nchini maneno yangekuwa mengiiiii ...ooh wasiojulikana. Niliwahi kusena na naendelea kuamini usalama wa raia Tanzania uko juu mno. Imagine mume wa Spika Marekani anapigwa...nimefuatilia ile habari katika mitandao tofauti nimeshtushwa#Tuvipongeze vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.🙏🙏🙏
Ile ya Tundu Lisu ilipigiwa sana keleleIngekuwa hapa nchini maneno yangekuwa mengiiiii ...ooh wasiojulikana. Niliwahi kusema na naendelea kuamini usalama wa raia Tanzania uko juu mno. Imagine mume wa Spika Marekani anapigwa...nimefuatilia ile habari katika mitandao tofauti nimeshtushwa#Tuvipongeze vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.🙏🙏🙏
Sasa ndugu yangu, hapo huyo mume wa Spika ktk taifa kubwa watu wamepiga fuvu. Mimi ukitaka kunichoma na spoko njoo tu. Ila naviamini mno vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.🙏🙏🙏Polisi wa bongo anakulinda nini wewe kima? Mfano nikitaka kuja kukuchoma na spoku hapo kwako nani atanizuia?
Nikajua BetinaPaul Pelosi amevamiwa nyumbani kwake na mtu asiyejulikana Pelosi ni mume wa Nancy ambaye ni Spika wa bunge la Marekani
Source: BBC
😆😁😂😅😄😃😀😯😯Yule Siyo Mwembamba Tu Yaani Hata Pa Kupapasa ShidaNikajua Betina
Nyumbani kwakeAlikuwa mazingira yapi? Mbona huko ndo full security?
Na ma camera hayo yote ila majambazi wakaingia?Nyumbani kwake
Safi, tumehuru inataķiwa pronto.Paul Pelosi amevamiwa nyumbani kwake na mtu asiyejulikana Pelosi ni mume wa Nancy ambaye ni Spika wa bunge la Marekani
Source: BBC
Vipi kwani hana mvuto au? Mbona ni black beauty kabisa huyo mheshimiwa wetu..Basi kuna wanaume wenzetu wana moyo wa chuma aisee