Mmarekani, Mwingereza na Mtanzania

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
3,811
1,603
Walipokuwa wanajisifia walikokuwa wanatoka,
Mmarekani akasema, "I'm from New York City!
Muingereza akasema !I'm from London City"
Mtanzania aliyekuwa anarejea toka hospitali alikofanyiwa upasuaji wa kidole-tumbo akasema:
"I'm from "Apendicity" huku akikunjua shati na kuonesha bendeji iliyoziba jereha kutokana na upasuaji huo.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom