Mmarekani, Mwingereza na Mtanzania

Mmarekani, Mwingereza na Mtanzania

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2008
Posts
3,811
Reaction score
1,607
Walipokuwa wanajisifia walikokuwa wanatoka,
Mmarekani akasema, "I'm from New York City!
Muingereza akasema !I'm from London City"
Mtanzania aliyekuwa anarejea toka hospitali alikofanyiwa upasuaji wa kidole-tumbo akasema:
"I'm from "Apendicity" huku akikunjua shati na kuonesha bendeji iliyoziba jereha kutokana na upasuaji huo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom