Mmakonde kaenda kukagua shamba lake la ndizi,huko akakuta mwizi na furushi la ndizi anataka kukimbia...
Unajua alimwambia nini?
ukichimama nchale,ukikimbia nchale, ukichunguluka nchale, ukichunguncha nchale,ukinyamacha nchale"!chagua moja nnatakaje?
</p>Wamakonde wanalima korosho sio ndizi.. AU ATAKUWA MMAKONDE-MCHAGA WA KISHUMUNDU... Kwi kwi kwi kwi