Mmakonde vs mwizi shambani

Chal

Senior Member
Oct 7, 2010
128
52
Mmakonde kaenda kukagua shamba lake la ndizi,huko akakuta mwizi na furushi la ndizi anataka kukimbia...

Unajua alimwambia nini?

ukichimama nchale,ukikimbia nchale, ukichunguluka nchale, ukichunguncha nchale,ukinyamacha nchale"!chagua moja nnatakaje?
 
Chacha jamani kila kitu nchale. Kwe!kwe! Kwe! Shukran mkuu kwa chakula ya mawazo hii.
 
Mmakonde kaenda kukagua shamba lake la ndizi,huko akakuta mwizi na furushi la ndizi anataka kukimbia...

Unajua alimwambia nini?

ukichimama nchale,ukikimbia nchale, ukichunguluka nchale, ukichunguncha nchale,ukinyamacha nchale"!chagua moja nnatakaje?

Wamakonde wanalima korosho sio ndizi.. AU ATAKUWA MMAKONDE-MCHAGA WA KISHUMUNDU... Kwi kwi kwi kwi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom