Mlipuko wa msikitini Pakistan: Takriban watu 32 wauawa baada ya mlipuko huko Peshawar

Messenger RNA

JF-Expert Member
Jul 24, 2022
1,103
3,023
Takriban watu 32 wameuawa katika mlipuko uliotokea kwenye msikiti mmoja katika mji wa Peshawar nchini Pakistan.

Mlipuko huo ulitokea wakati msikiti huo ukiwa umejaa waumini na zaidi ya watu 150 kujeruhiwa.

Sehemu ya jengo iliharibiwa, na maafisa wanasema watu wamezikwa chini ya vifusi.Wengine kadhaa wanapelekwa katika hospitali za mji huo.

Chanzo cha mlipuko huo hakijajulikana.Waziri Mkuu Shebaz Sharif amelaani vikali shambulio hilo.

Katika taarifa, Bw Sharif alisema waliohusika na tukio hilo "hawana uhusiano wowote na Uislamu".

Aliongeza: "Taifa zima limesimama kwa umoja dhidi ya tishio la ugaidi".

Mlipuko huo ulitokea wakati wa sala ya alasiri katika mji wa kaskazini-magharibi, karibu na mpaka wa nchi hiyo na Afghanistan.

Mohammad Asim, msemaji wa Hospitali ya Lady Reading, alisema kuwa baadhi ya waliojeruhiwa walikuwa katika hali mbaya.

"Ni hali ya dharura," Bw Asim aliongeza.

Vyombo vya habari vya ndani vinaripoti kuwa polisi, jeshi na vikosi vya kutegua mabomu viko kwenye eneo la tukio.

Katika mji mkuu, Islamabad Polisi ilitoa tahadhari ya juu ya usalama na kusema usalama katika maeneo yote ya kuingia na kutoka katika mji huo umeongezeka.
BBC Swahili
 
Takriban watu 32 wameuawa katika mlipuko uliotokea kwenye msikiti mmoja katika mji wa Peshawar nchini Pakistan.

Mlipuko huo ulitokea wakati msikiti huo ukiwa umejaa waumini na zaidi ya watu 150 kujeruhiwa.

Sehemu ya jengo iliharibiwa, na maafisa wanasema watu wamezikwa chini ya vifusi.Wengine kadhaa wanapelekwa katika hospitali za mji huo.

Chanzo cha mlipuko huo hakijajulikana.Waziri Mkuu Shebaz Sharif amelaani vikali shambulio hilo.

Katika taarifa, Bw Sharif alisema waliohusika na tukio hilo "hawana uhusiano wowote na Uislamu".

Aliongeza: "Taifa zima limesimama kwa umoja dhidi ya tishio la ugaidi".

Mlipuko huo ulitokea wakati wa sala ya alasiri katika mji wa kaskazini-magharibi, karibu na mpaka wa nchi hiyo na Afghanistan.

Mohammad Asim, msemaji wa Hospitali ya Lady Reading, alisema kuwa baadhi ya waliojeruhiwa walikuwa katika hali mbaya.

"Ni hali ya dharura," Bw Asim aliongeza.

Vyombo vya habari vya ndani vinaripoti kuwa polisi, jeshi na vikosi vya kutegua mabomu viko kwenye eneo la tukio.

Katika mji mkuu, Islamabad Polisi ilitoa tahadhari ya juu ya usalama na kusema usalama katika maeneo yote ya kuingia na kutoka katika mji huo umeongezeka.
BBC Swahili
Sasa wanapigania nini tena
 
Viongozi wa Pakistan akili hawana.
NA hayo magaidi Sasa unalipua watu unaua wamekukosea nini?
 
Takriban watu 32 wameuawa katika mlipuko uliotokea kwenye msikiti mmoja katika mji wa Peshawar nchini Pakistan.

Mlipuko huo ulitokea wakati msikiti huo ukiwa umejaa waumini na zaidi ya watu 150 kujeruhiwa.

Sehemu ya jengo iliharibiwa, na maafisa wanasema watu wamezikwa chini ya vifusi.Wengine kadhaa wanapelekwa katika hospitali za mji huo.

Chanzo cha mlipuko huo hakijajulikana.Waziri Mkuu Shebaz Sharif amelaani vikali shambulio hilo.

Katika taarifa, Bw Sharif alisema waliohusika na tukio hilo "hawana uhusiano wowote na Uislamu".

Aliongeza: "Taifa zima limesimama kwa umoja dhidi ya tishio la ugaidi".

Mlipuko huo ulitokea wakati wa sala ya alasiri katika mji wa kaskazini-magharibi, karibu na mpaka wa nchi hiyo na Afghanistan.

Mohammad Asim, msemaji wa Hospitali ya Lady Reading, alisema kuwa baadhi ya waliojeruhiwa walikuwa katika hali mbaya.

"Ni hali ya dharura," Bw Asim aliongeza.

Vyombo vya habari vya ndani vinaripoti kuwa polisi, jeshi na vikosi vya kutegua mabomu viko kwenye eneo la tukio.

Katika mji mkuu, Islamabad Polisi ilitoa tahadhari ya juu ya usalama na kusema usalama katika maeneo yote ya kuingia na kutoka katika mji huo umeongezeka.
BBC Swahili
Nani kati ya mlipuaji na walio lipuliwa Ataenda Sardaus na kuzawadiwa

مَّثَلُ الْجَنَّةِ الَّتِي وُعِدَ الْمُتَّقُونَ ۖ فِيهَا أَنْهَارٌ مِّن مَّاءٍ غَيْرِ آسِنٍ وَأَنْهَارٌ مِّن لَّبَنٍ لَّمْ يَتَغَيَّرْ طَعْمُهُ وَأَنْهَارٌ مِّنْ خَمْرٍ لَّذَّةٍ لِّلشَّارِبِينَ وَأَنْهَارٌ مِّنْ عَسَلٍ مُّصَفًّى ۖ وَلَهُمْ فِيهَا مِن كُلِّ الثَّمَرَاتِ وَمَغْفِرَةٌ مِّن رَّبِّهِمْ ۖ كَمَنْ هُوَ خَالِدٌ فِي النَّارِ وَسُقُوا مَاءً حَمِيمًا فَقَطَّعَ أَمْعَاءَهُمْ

[ MUH'AMMAD - 15 ]
Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika, mito ya ulevi kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?
 
Back
Top Bottom