Mlipuko ofisi ya Mawakili, CCM yakaa kimya

Mlipuko ofisi ya Mawakili, CCM yakaa kimya

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,589
Reaction score
272,331
Haijafahamika kama bado ni mapema ama labda hawajaguswa na lolote katika yaliyotokea.

Si Polepole wala Mangula aliyejitokeza kutoa pole mpaka muda huu.

Tayari CUF kupitia kwa Mh Mbalala Maharagande na CHADEMA kupitia kwa mkuu wa Itifaki JOHN MREMA wamekwishatoa Tamko kuhusu unyama huo.

Mytake, Urafiki wa kweli ni katika dhiki na faraja.
 
Haijafahamika kama bado ni mapema ama labda hawajaguswa na lolote katika yaliyotokea .

Si Polepole wala Mangula aliyejitokeza kutoa pole mpaka muda huu .

Mytake , URafiki wa kweli ni katika dhiki na faraja .
Sasa huo mlipuko Ni suala la kitaifa?
 
Haijafahamika kama bado ni mapema ama labda hawajaguswa na lolote katika yaliyotokea .

Si Polepole wala Mangula aliyejitokeza kutoa pole mpaka muda huu .

Mytake , URafiki wa kweli ni katika dhiki na faraja .
Viongozi kibao wa ccm wameuwawa kibiti Mashinji mpaka kesho yupo kimya. Sembuse kaofisi kamoja tu?
 
Haijafahamika kama bado ni mapema ama labda hawajaguswa na lolote katika yaliyotokea .

Si Polepole wala Mangula aliyejitokeza kutoa pole mpaka muda huu .

Tayari CUF kupitia kwa Mh Mbalala Maharagande na CHADEMA kupitia kwa mkuu wa Itifaki JOHN MREMA wamekwishatoa Tamko kuhusu unyama huo .

Mytake , URafiki wa kweli ni katika dhiki na faraja .
CCM wana mambo mengi ya kufanya bhana!!.... Nyie chadema lazima mumpe pole kada wenu Masha.
 
Haijafahamika kama bado ni mapema ama labda hawajaguswa na lolote katika yaliyotokea .

Si Polepole wala Mangula aliyejitokeza kutoa pole mpaka muda huu .

Tayari CUF kupitia kwa Mh Mbalala Maharagande na CHADEMA kupitia kwa mkuu wa Itifaki JOHN MREMA wamekwishatoa Tamko kuhusu unyama huo .

Mytake , URafiki wa kweli ni katika dhiki na faraja .
Haiwahusu mkuu
 
wewe huoni jinsi wapenzi wake walivyofurahi humu toka jana baada ya kusikia ofisi ya imma imeungua. fuatilia mijadala humu utaona
 
Kesi ya Nyani umpelekee Tumbili sijui unategemea nini
 
Back
Top Bottom