Mlipuko mkubwa waitikisa Arusha!

PakaJimmy

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2009
Posts
16,202
Reaction score
8,781
Kitu kama bomu kimelipuka Hapa Arusha maeneo ya MTK Bar Mianzini na kusababisha mshindo mkubwa sana.

Taarifa zinasema baadhi ya watu wameumia.

========
UPDATES:

- Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha amethibitisha kutokea kwa mlipuko wa bomu Arusha Night Park, hakuna vifo, idadi ya majeruhi haijajulikana bado.


Eneo ambalo mlipuko huo ulitokea.


 

Attachments

  • BlH3x0TIcAEaVjS.jpg
    26.4 KB · Views: 10,874
watu wote wameshatawanyika...wikiendi Arusha imevurugika....
 
Hadi sasa hapa home Soweto najiuliza ni nini hiko! Mwenye taarifa kamili asikawie kutujuza
 
Kitu kama bomu kimelipuka Hapa Arusha maeneo ya MTK Bar Mianzini na kusababisha mshindo mkubwa sana.
Taarifa zinasema baadhi ya watu wameumia.

Fuatilia kwa karibu utushibishe mkuu
 
Nipo hapa Picnic na mie nimeucikia huo mlipuko.....mmmh...ngoja niwahi home.
 
Mkuu huu uchoyo wote wa nini?? Si ungejinyamazia tu? Si lazima uwe wa kwanza kurepoti jambo. Utakuwa wa maana ikiwa utaleta ripoti yenye mifupa na minofu juu yake. Siyo Skeleton. Eleza jambo tulielewe. Wengine tuna ndg huko. Wengine bado tuna mawazo fresh ya Olasiti na Unga ltd. Usitupandishe BP bure.
Mwingulu yuko wapi jamani??? Hivi yupo bungeni kweli naona kakaa kimya saana this week. Aisaidie polisi kubaini chanzo wasije sema ni kitu kibutu kwani Chagonji hachelewi
 

Ingekua unavyotaka wewe mangatara wala kusingekuwa na breaking news!
 
Last edited by a moderator:
- Jamani mbona nipo hapa ndio kwanza tumetoka mpirani na sijasikia kitu mkuu au?

Le Mutuz System

Ni kweli mkuu huo mlipuko ulikuwepo na ni mkubwa sana!! Ilikuwa ni baada ya mpira kumalizika...
 
Hivi Jk si yupo Arusha jamani?? Jus curious....
 
Kitu kama bomu kimelipuka Hapa Arusha maeneo ya MTK Bar Mianzini na kusababisha mshindo mkubwa sana.
Taarifa zinasema baadhi ya watu wameumia.
Asante PK kwa kuendelea kuifanya jf, "be the first to know!".

Endelea kufuatilia tukio hilo, haswa chanzo cha mlipuko na matokeo!.

Usiwajali watakaokulaumu kwa nini umeleta habari nusu, hao wamezoea kula chakula kikiwa kimeishaiva, na kupakuliwa kwenye sahani, wao kazi yao ni kula tuu, sisi ambao ni wapishi, hata chakula kabla hakijaiva, huonja kwanza, hivyo tunakushukuru kwa kutuonjesha, tunakisubiri kiive utupakulie tule!.
Pasco
 
Poleni wahuko, sisi haya mafuriko yanatutosha huku dar
 
Well spoken bro!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…