DAD'S SON
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 392
- 466
Wasalaam,
Binadamu ni kiumbe hatari sana na very smart creature kuwai kuumbwa.
Lengo la uzi tuambiane namna gani uliweza kuescape kulipa bill,iwe ilikuwa bar,hotel ama popote pale ila Mwisho wa siku ulifanikiwa kukimbia kulipa bill.
STORY FUPI
Mwanangu mmoja alikuw ni mzee wa totozi sana,ninaposema totoz namaanisha pis kali balaa,mzee wa kupenda watoto wa high class.Kiukweli mwanagu alikuwa anakisimati cha watoto hawa.
Siku moja alipata mtoto mzuri mmoja(ilikuwa j5), akampanga watoke out Mtoto mzuri hakuhesitate wala nini alikubali basi bana mwanangu akapanga siku ya kumeet(jmosi).
Jmos huwa sio mbali kama unadaiwa mkuu ila ni mbali sana km umepanga kumeet na Mtoto mzuri,hamadi siku yenyewe iyo hapo,mwanangu akampeleka mtoto kiwanja kikali sana wakaangiza vinywaji yani ni mwendo pombe za mzamini wa UEFA Heineken.Baad ya dk chache watoto wazuri wengine wakaja Mtoto mzuri alikuwa na mwanangu akawakaribisha na kudai kuwa hawa anaowaona ni rafiki zake(team tia khasara).
kama unavyojua marafiki wa manzi yako ndo mashemeji so unakuwa responsible hasa kwenye mtoko km huo though mwana hakuwa na taarifa nao so ni mwendo wa surprise,basi akacall waiter awasikilize,Mungu wa Yohana ndo Mungu wa Magu wale mabinti wawili wakomba jackdaniels 750ml at that time ilikuwa ni 83900tsh,na mbuzi choma.According to mwana anakwambia alipata electric shock maan mfuko wake usingeweza kuhandle(dude wants bad bitch but can't handle curriculum).Alipiga roughly mzigo ulikuwa unaweigh kweny 200k+ alafu kabeba 90k(though alijitahidi sana).
MBINU YA KUTOROKA
ilikuwa ivii aliomba kwenda chooni akaacha simu yake ya Nokia tochi akabeba smartphone yake akaweka mfukoni uzuri alitoa laini mapema sana time watoto wazuri wakipiga story za hapa na pale,after kufika chooni alijisaidia fresh then akaassess environment akaona inatorokeka vizuri sana,mwanangu akaruka ukuta akatokea upande wa pili uyoo home.
Kiukweli mpk Saivi hatujui wale wadada walilipaje Bill zao na bill ya mwanangu maana nae alivyotoroka hakulipa hata bill ya alivyotumia.
USHAURI
Dada zangu kuna muda muwe na kahuruma juu yetu hasa pale tunapowatoa out msifanye km vita kutukomoa hela zenyewe za boom we unakuja na team yako tena hata hausemi.
Boys na sisi tuwe tunacalculate risk asee unabeba Mtoto mzuri alafu unampeleka kiwanja cha gharama alafu unataka utumie 30k Kweli??,big joke.
Uwanja wenu wadau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binadamu ni kiumbe hatari sana na very smart creature kuwai kuumbwa.
Lengo la uzi tuambiane namna gani uliweza kuescape kulipa bill,iwe ilikuwa bar,hotel ama popote pale ila Mwisho wa siku ulifanikiwa kukimbia kulipa bill.
STORY FUPI
Mwanangu mmoja alikuw ni mzee wa totozi sana,ninaposema totoz namaanisha pis kali balaa,mzee wa kupenda watoto wa high class.Kiukweli mwanagu alikuwa anakisimati cha watoto hawa.
Siku moja alipata mtoto mzuri mmoja(ilikuwa j5), akampanga watoke out Mtoto mzuri hakuhesitate wala nini alikubali basi bana mwanangu akapanga siku ya kumeet(jmosi).
Jmos huwa sio mbali kama unadaiwa mkuu ila ni mbali sana km umepanga kumeet na Mtoto mzuri,hamadi siku yenyewe iyo hapo,mwanangu akampeleka mtoto kiwanja kikali sana wakaangiza vinywaji yani ni mwendo pombe za mzamini wa UEFA Heineken.Baad ya dk chache watoto wazuri wengine wakaja Mtoto mzuri alikuwa na mwanangu akawakaribisha na kudai kuwa hawa anaowaona ni rafiki zake(team tia khasara).
kama unavyojua marafiki wa manzi yako ndo mashemeji so unakuwa responsible hasa kwenye mtoko km huo though mwana hakuwa na taarifa nao so ni mwendo wa surprise,basi akacall waiter awasikilize,Mungu wa Yohana ndo Mungu wa Magu wale mabinti wawili wakomba jackdaniels 750ml at that time ilikuwa ni 83900tsh,na mbuzi choma.According to mwana anakwambia alipata electric shock maan mfuko wake usingeweza kuhandle(dude wants bad bitch but can't handle curriculum).Alipiga roughly mzigo ulikuwa unaweigh kweny 200k+ alafu kabeba 90k(though alijitahidi sana).
MBINU YA KUTOROKA
ilikuwa ivii aliomba kwenda chooni akaacha simu yake ya Nokia tochi akabeba smartphone yake akaweka mfukoni uzuri alitoa laini mapema sana time watoto wazuri wakipiga story za hapa na pale,after kufika chooni alijisaidia fresh then akaassess environment akaona inatorokeka vizuri sana,mwanangu akaruka ukuta akatokea upande wa pili uyoo home.
Kiukweli mpk Saivi hatujui wale wadada walilipaje Bill zao na bill ya mwanangu maana nae alivyotoroka hakulipa hata bill ya alivyotumia.
USHAURI
Dada zangu kuna muda muwe na kahuruma juu yetu hasa pale tunapowatoa out msifanye km vita kutukomoa hela zenyewe za boom we unakuja na team yako tena hata hausemi.
Boys na sisi tuwe tunacalculate risk asee unabeba Mtoto mzuri alafu unampeleka kiwanja cha gharama alafu unataka utumie 30k Kweli??,big joke.
Uwanja wenu wadau.
Sent using Jamii Forums mobile app