Mliowahi kupata kazi remotely job mlifanyaje

Mliowahi kupata kazi remotely job mlifanyaje

Rico redi

Senior Member
Joined
Jul 15, 2023
Posts
166
Reaction score
351
Kwema wanabodi nimekua nikijaribu kupitia sites mbalimbali za ajira ambazo ni remotely kuanzia LinkedIn, WWR,flexjobs na nyinginezo nikajiregister kule

Lakini changamoto unakuta hata kazi ambayo ni entry jobs ambayo wanatoa mpaka training kuipata ni changamoto nashindwa kuelewa kuna sehemu nakwama au??

Kwa mfano Mimi baada ya kuona kazi za upande Wa sheria ni ngumu kupata kazi remotely nikaamua kukomaa na kazi za sales ambapo nikapata experience na nakumbuka niliwahi leta Uzi Wa namna ya changamoto ya kazi za sales zilivyo hasa nchini kwetu na pia naamini katika kuongeza ujuzi make kile nilichonacho labda hakitoshi kunifikisha pale napotamani kufika

Nikaamini labda natakiwa kuwa competent upande wa sales nikajifunza software mbalimbali za sales mfano zoho,salesforce,excellent na nyingine google sheet mpaka nikawa naanza na kujifunza tally books endapo watahitaji sales accountant make

Malengo yangu ilikua nikipata kazi upande huo nijifunze pia data analysis upande Wa business ila hii niliona itachukua muda kidogo make data analysis ni nzito kiasi lakini kazi za sales & marketing naziona zipo nyingi na pia zipo nyingi ambazo ni entry lakini sipati

JE nakwama wapi mliowahi pata kazi remotely mlifanyaje fanyaje make nawaza naweza nikasoma pia data analysis lakini nikaambulia patupu kama ilivyo sasa

msaada tafadhali pia kama kuna mtu yuko mwanza anajua data analysis tunaweza wasilianaa
 
Kwema wanabodi nimekua nikijaribu kupitia sites mbalimbali za ajira ambazo ni remotely kuanzia LinkedIn, WWR,flexjobs na nyinginezo nikajiregister kule

Lakini changamoto unakuta hata kazi ambayo ni entry jobs ambayo wanatoa mpaka training kuipata ni changamoto nashindwa kuelewa kuna sehemu nakwama au??

Kwa mfano Mimi baada ya kuona kazi za upande Wa sheria ni ngumu kupata kazi remotely nikaamua kukomaa na kazi za sales ambapo nikapata experience na nakumbuka niliwahi leta Uzi Wa namna ya changamoto ya kazi za sales zilivyo hasa nchini kwetu na pia naamini katika kuongeza ujuzi make kile nilichonacho labda hakitoshi kunifikisha pale napotamani kufika

Nikaamini labda natakiwa kuwa competent upande wa sales nikajifunza software mbalimbali za sales mfano zoho,salesforce,excellent na nyingine google sheet mpaka nikawa naanza na kujifunza tally books endapo watahitaji sales accountant make

Malengo yangu ilikua nikipata kazi upande huo nijifunze pia data analysis upande Wa business ila hii niliona itachukua muda kidogo make data analysis ni nzito kiasi lakini kazi za sales & marketing naziona zipo nyingi na pia zipo nyingi ambazo ni entry lakini sipati

JE nakwama wapi mliowahi pata kazi remotely mlifanyaje fanyaje make nawaza naweza nikasoma pia data analysis lakini nikaambulia patupu kama ilivyo sasa

msaada tafadhali pia kama kuna mtu yuko mwanza anajua data analysis tunaweza wasilianaa
Hongera kwa jitihada hizo. Ili upate ajira, na haitakuwa kwa mtu mmoja, hebu kubali kufanya kama freelancer. Jisajili Upwork na Fiverr. Naamini utapata kazi za kutosha za mambo ya sales.
 
Back
Top Bottom