AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Habari magreat thinkers! Jamani kama kuna magreat thinkers waliosoma umoja sec ningependa tujuane humu jamvini.
Shule ka hzi hata hazjulikan,hakuna member humu.
da. unanikumbusha mbali sana aisee. nilipiga mzigo pale nikiganga ganga njaa. kwa hiyo dogo mambo yako fresh eeh. mwalimu wenu bado nasota na maisha magumu. nirushie hata vocha
dah! Mi mwaka 2011 ndo nimemalza baba na nilikuwa gentle4 na 9.Oya tupo aise pande za simbo pale kati duu kitambo aise.vp we wa mwaka gani pale?
Shule nyingine hata kusoma habari zake humu kwa great thinkers zinatia kichefuchefu!