Mliosoma Tosamaganga Mpo???

Mliosoma Tosamaganga Mpo???

Wakuu mliopita TosaMaganga tupeane mawasiliano ili tuweze kuikumbuka shule yetu hasa kwa upande wa taaluma.
 
Wakuu,

Naomba tufufue mawasiliano kwa wale tuliosoma Tosa. Nitashukuru kama kila mmoja wenu akinitumia Jina lake na taarifa zake kwa ufupi kwa SMS kwenye namba yangu ya simu ya mkononi 0654 467758.
 
Mimi nimekuwepo kipindi cha transitions Mkangwa na Charwe nimemaliza 2004 nilikuwa PCB1
 
yeeahhh Pulu mundu nalisoma hilo jina kabisa anii..dah long tym kinoma ani..
nakumbuka majina yetu yale halfmile,mabanzi nina wazee wa kutupia nyali kwa mama happy, mama msimbe mama mchafu n all that..dah
 
wewe yawezekana tulikuwa wote enzi za Sifongo, Atom n.k. mwalimu mwingine ni Wibonele, Muhemedzi Mgunya nk.k
Binafsi nilisoma kipindi cha Mpogole (aka Dudu). Napatikana kwa namba 0654 467758. Tuanze kuwasiliana.
 
Mkuu naona wote waliochangia hapo juu wamesoma juzi Tosa, mwenzenu nimesoma pale enzi za Mpogole (Dudu) na maeneo yetu ya kujidai yalikuwa Msombwe, Itamba na mara moja moja Kalenga. Mimi niko Ughaibuni ila mkianzisha akaunti maalum mchango wangu ni wa kufikia tu.

Umesahau Ipamba na Banawanu...kuna sehemu ilikuwa inaitwa Msiwasi...
 
Enzi za Dudu mabweni yaliitwa Azimio, Mapinduzi, Muungano sijui bado lipo?, Ujamaa n.k. bila kusahau sifongo na nyali. Hafmile, Quarter mile, Siberia kwenye Boxing ni miaka ya 1986-1989
 
mie nilisoma enzi za charwe(R.I.P) then bonge la toto(mtera g) napatikana ka namba 0769827563/0784806324 na nilikuwa pmc3 2007-2009
 
Mimi nilipita O-level 2005 to 2008. Kwanza namtafuta teacher mmoja mzungu anaitwa Suzy. Nani mwenye jina lake kamili?
 
Mimi nilipita O-level 2005 to 2008. Kwanza namtafuta teacher mmoja mzungu anaitwa Suzy. Nani mwenye jina lake kamili?
Tulikua tunacheza nae basket ball sana yule madam. Nilikuacha mwaka mmoja. Hapo 2007.
 
Mkangwa kaniachia alama alinipiga fimbo ya kichwani kwa kumsaidia rafiki yangu mgonjwa sababu alihisi tunachochea vurugu nyingine baada ya watu kuchoma moto majengo, mgomo mkubwa kisa kifo cha Eugine mtoto wa Kalenga mwanafunzi wa o-level day scholar.
NOTE: Nilikuwa A-level.
 
Mkangwa kaniachia alama alinipiga fimbo ya kichwani kwa kumsaidia rafiki yangu mgonjwa sababu alihisi tunachochea vurugu nyingine baada ya watu kuchoma moto majengo, mgomo mkubwa kisa kifo cha Eugine mtoto wa Kalenga mwanafunzi wa o-level day scholar.
NOTE: Nilikuwa A-level.
Daa umenikumbusha mkangwa mbabe kweli sijui yuko wapi headmaster wangu huyu nimeondoka 2001 pale
 
Back
Top Bottom