Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,618
- 3,743
Mlichoma ofisi ya malezi HP akiwa Allan msola si ndioMkangwa kaniachia alama alinipiga fimbo ya kichwani kwa kumsaidia rafiki yangu mgonjwa sababu alihisi tunachochea vurugu nyingine baada ya watu kuchoma moto majengo, mgomo mkubwa kisa kifo cha Eugine mtoto wa Kalenga mwanafunzi wa o-level day scholar.
NOTE: Nilikuwa A-level.