SolarPower
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 223
- 27
Kwa wale mliosoma Tosamaganga Iringa naomba mjitokeze popote pale mlipo ili tuweze kuikumbuka shule yetu na kuona ni kwa jinsi gani tunaweza kushirikiana na uongozi wa shule yetu ili kuiboresha zaidi na kuhakikisha kuwa inakuwa kati ya shule bora 20 hapa nchini na kuona kuwa inatoa wahitimu bora zaidi.