FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
pia kuanguka ni dalili ya awali ya ugonjwa wa tezi dume! chukua hiyo
Hujafa hujaumbika.
pia kuanguka ni dalili ya awali ya ugonjwa wa tezi dume! chukua hiyo
Ama wewe ni ZeComedy au unaugua Alzheimar au you must be under 18 years!! Bs!
Unahororoja bila mpango.
1. Barabara za lami nyingi kuliko za awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
2. Shule za Sekondari nyingi kuliko za awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
3. Wanafunzi wa vyuo vikuu wengi kuliko wa awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
5. Waalimu wengi kuliko wa awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
6. Huduma ya afya na vifaa vya afya ni bora kuliko za awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
7. Watanzania wengi wana kazi kuliko awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
8. Viwanda ni vingi kuliko vya awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
9. Watalii ni wengi kipindi chake na kipato cha utalii ni kikubwa kuliko vya awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
10. Demokrasia ni bora na watu wana uwezo wa kusema wakipendacho kuliko awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
Hujafa hujaumbika.
Anza;
Umeme alikuta 10% tu ya Watanzania ndio wanao, changanya wote wa kabla yake miaka 44b na mkoloni wao, leo hii 35% kwa miaka 9 tu ya Kikwete, na kazi imepamba moto ataekuja ni kusimamia miradi tu.
Kinyerezi moja, mbili, tatu na nne unaijuwa?
Pitia hapa: Orodha ya Miradi ya Umeme Vijijini kwa Mwaka wa Fedha 2013-14
Unachekesha kweli...barabara za lami tena za kiwango cha chini kabisa, shule hazina vifaa vyoyote wala maabara..walimu hakuna maana wanalipa mishahara mbuzi.. wakati deni la taifa linazidi kupaa...hilo li-kikwete lako unalolitetea limeuza kila kitu hapa nchini...imebakia sasa kuuuza na raia maana hakuna alichovakiza..nakushauri ujinyamazie tuu na acha kutetea ujinga...magamba hayasafishiki hata kwa bleach1. Barabara za lami nyingi kuliko za awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
2. Shule za Sekondari nyingi kuliko za awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
3. Wanafunzi wa vyuo vikuu wengi kuliko wa awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
5. Waalimu wengi kuliko wa awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
6. Huduma ya afya na vifaa vya afya ni bora kuliko za awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
7. Watanzania wengi wana kazi kuliko awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
8. Viwanda ni vingi kuliko vya awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
9. Watalii ni wengi kipindi chake na kipato cha utalii ni kikubwa kuliko vya awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
10. Demokrasia ni bora na watu wana uwezo wa kusema wakipendacho kuliko awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
Bafuni ule ni utelezi ambao kila mtu anaweza kuanguka. Hata mie nilishaanguka. Au wewe unaogea choo cha passport size chini udongo pembeni bati ndio maana huwezi elewa tofauti? Ubwege wako huko huko?
Mkuu [MENTION=207338]zumbemkuu na Elli njooni mumuone huyu anaye(k)unya machakani na kushangaa kuteleza kwenye tiles bafuni kwa vile MSALANI kwake ni porini.
Ama kweli jf kuna mambo. Lol😂Mimi nikiwa mganga wa kienyeji nilishangazwa sana kwa daktari aliyemtangaza Rais wangu kuwa hatakuwa dume tena kwa sababu tezi dume limeondolewa na kubaki na tezi jike. Kutangaza jambo kubwa la namna hii si tu ni aibu lakini pia lilimdhalilisha Rais wangu na kumhurumia mama salma kuhusu maisha yake ya ndoa ya baadae Jambo kama linapotangazwa kuhusu Rais wetu inatakiwa utolewe na ufafanuzi wa kina tezi dume maana yake ni nini na athari na faida zake kwa binadamu kuwa nalo au kulikosa ni nini na si kwa namna mlivyofanya ninyi.
1. Barabara za lami nyingi kuliko za awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
2. Shule za Sekondari nyingi kuliko za awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
3. Wanafunzi wa vyuo vikuu wengi kuliko wa awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
5. Waalimu wengi kuliko wa awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
6. Huduma ya afya na vifaa vya afya ni bora kuliko za awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
7. Watanzania wengi wana kazi kuliko awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
8. Viwanda ni vingi kuliko vya awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
9. Watalii ni wengi kipindi chake na kipato cha utalii ni kikubwa kuliko vya awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
10. Demokrasia ni bora na watu wana uwezo wa kusema wakipendacho kuliko awamu zote za kabla yake ukichanganya pamoja.
Bibie Faizafoxy hapa tunajadili maendeleo ya ugonjwa wa rais wa tezi dume na waliomshauri na sio maendeleo aliyoleta.
Acha kupotosha jamii ni misemo iliyopitwa na wakati...Mungu abawapiga matezi dume shauri ya laana.
what is the cost of electricity kwa watanzania wa kawaida,kwa sasa huko rural areas wamepunguziwa gharama za kuunganisha umeme ila sasa gharama za luku ni mzigo kwa watanzania wa mjini na vijijini
Unachekesha kweli...barabara za lami tena za kiwango cha chini kabisa, shule hazina vifaa vyoyote wala maabara..walimu hakuna maana wanalipa mishahara mbuzi.. wakati deni la taifa linazidi kupaa...hilo li-kikwete lako unalolitetea limeuza kila kitu hapa nchini...imebakia sasa kuuuza na raia maana hakuna alichovakiza..nakushauri ujinyamazie tuu na acha kutetea ujinga...magamba hayasafishiki hata kwa bleach
........hahaaaaa nimeipendajeHahahahahaaaaa umenena vyema sana
Tatizo hashauriki