Mliomshauri rais mmempotosha

Mliomshauri rais mmempotosha

Bi mkubwa wewe ni yupi kati ya hawa hapa chini? Ritz namuona kavaa kanzu nyekundu yuko battlefield hahahahahahaha.

Ila binafsi sijapenda dr wake alivyofanya kwani watampa wakati mgumu sana mama mwanasha na faraja sana kwa babu seya.....nafuta hii coment mungu kucha zangu weweeee

View attachment 202868


afichae maradhi kifo humuumbua.

Kuhusu kuanguka kwa rais, ulikuwa na uchovu na mchoko wa kufanya kazi bila kupumzika vya kutosha. Hilo lilisemwa au hukulipenda?
 
Afichae maradhi kifo humuumbua.

Kuhusu kuanguka kwa Rais, ulikuwa na uchovu na mchoko wa kufanya kazi bila kupumzika vya kutosha. Hilo lilisemwa au hukulipenda?

Kama sababu ingekuwa hiyo KINANA angekuwa ameishakufa kitambo kwani yeye ubeba hadi matofari na kutembea kwa miguu
 
Huruma kwa mama salma maana bado ni mbichi anahitaji gegedo
 
Bi mkubwa wewe ni yupi kati ya hawa hapa chini? Ritz namuona kavaa kanzu nyekundu yuko battlefield hahahahahahaha.

Ila binafsi sijapenda dr wake alivyofanya kwani watampa wakati mgumu sana mama mwanasha na faraja sana kwa babu seya.....nafuta hii coment mungu kucha zangu weweeee

View attachment 202868

Duh!! kumbe ule msemo wa wazee wa zamani kuwa malipo ni DUNIANI kumbe ni kweli eeeee??
 
Huruma kwa mama salma maana bado ni mbichi anahitaji gegedo
 
Afichae maradhi kifo humuumbua.

Kuhusu kuanguka kwa Rais, ulikuwa na uchovu na mchoko wa kufanya kazi bila kupumzika vya kutosha. Hilo lilisemwa au hukulipenda?

Hadharani asha anguka mara mbili, na nje ya kamera mara moja.

Vyote ni uchovu.

Na kama kuweka wazi ni tiba,je ni tezi dume ndo lilikuwa linamtupa chini?
 
attachment.php
 
Sielewi kwa nini walimshauri a disclose ugonjwa wake hasa ukizingatia ugonjwa wenyewe, ingetosha tu kusema rais kalazwa.
 
Nchi kwa matukio hii! Ushakua msamiati sasa,kila nipitapo nasikia tezi dume.
 
Afichae maradhi kifo humuumbua.

Kuhusu kuanguka kwa Rais, ulikuwa na uchovu na mchoko wa kufanya kazi bila kupumzika vya kutosha. Hilo lilisemwa au hukulipenda?

Jk ni mfanyakazi ambae hajawahi kufanya kazi sijui huo uchovu alipataje? Nafikiri ungesema uchovu wa kusafiri bila kupumzika lakini suala la kazi unamsingizia, kama una ushahidi orodhesha hizo kazi zilizomchosha huyu mtalii
 
Kuumwa mguu kwa Mkapa haikuwa na haja hata magazeti kuandika, ile kutembea tu na gongo huku akichechemea, wenye akili zetu tukajua ni kazi ya mikono ya mama Anna.

Ha ha ha haaaa....kazi ya mikono ya nan vile? Ha haaa
 
Jana dada mmoja kaning'ang'ania kuniuliza kuwa tezi dume ni nini, nikajaribu kuzungukazunguka baadaye akaniuliza kama ni kweli kuwa tezi dume ni busha. Nilipomwambia kuwa ni sahihi bado hakuamini, akasema kama ni busha mbona Kikwete wamesema ana tezidume?

Kwa fikra zake ni kuwa siyo kwamba Rais hawezi kuugua busha bali hakutegemea watu watangaziwe kuwa Rais wao ana busha. Kwangu mimi ugonjwa ni ugonjwa, humpata yeyote yule alimradi ni mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke. Ila kuutumia ugonjwa kukejeli ugonjwa wenyewe au anayeuugua siyo staha.

Nchi kwa matukio hii! Ushakua msamiati sasa,kila nipitapo nasikia tezi dume.
 
Jk ni mfanyakazi ambae hajawahi kufanya kazi sijui huo uchovu alipataje? Nafikiri ungesema uchovu wa kusafiri bila kupumzika lakini suala la kazi unamsingizia, kama una ushahidi orodhesha hizo kazi zilizomchosha huyu mtalii

Kila kitu cha maendeleo katika Tanzania kafanya zaidi ya Marais wote watatu waliomtangulia na hilo halina ubishi.
 
Kuumwa mguu kwa Mkapa haikuwa na haja hata magazeti kuandika, ile kutembea tu na gongo huku akichechemea, wenye akili zetu tukajua ni kazi ya mikono ya mama Anna.

Umenikumbusha Slaa alivyotiwa kilema cha mkono na Josefina huko Mwanza, akavunga kadondoka chooni, mpaka leo mkono Umelemaa. Ule ni mkong'oto kutoka kwa Josefina.
 
Back
Top Bottom