Naam, gharama ziko juu kwa sababu miondo mbinu iliyowekwa kabala ya ujio wa Kikwete ilikuwa mibovu na ya kutumia mafuta mazito ambayo ni gharama. Utakumbuka kuwa Kikwete alipochukuwa madaraka hata umeme wenyewe ulikuwa shida, mgao kila kukicha.
Hayo yte kayafanyia kazi na sasa kuna bomba la gas kubwa linakuja kwenye mitambo mipya ya kutumia gas huko Kinyerezi na hilo ndio suluhisho la gharama kubwa, kuna mitambo mipya inajengwa huko kiwira ya kutumia mkaa wa mawe, nd=adhani unalielewa hilo.
Usiwe na shaka, Kikwete anatimiza zaidi ya Mega watts 4,000 za umeme kwa muda wake, fananisha hizo na mega watt 1,500 zisizofanya kazi ipaswavyo alizozikuta, halafu urudi na useme, nani zaidi?