Kwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?Other interesting cabinet stats minus deputies:
Full ministers – 23
19 (83%) are men
4 (17%) are women
9 (39%) are PhD holders
0 -member from Zanzibar
Akikujibu ni tagKwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Na zanzibar kwenye serikali yao kuna wakristo wangapi..
Mtu asiteuliwe kwa kuangalia dini ama race,bali uwezo.
Mtoa mada ana hoja hapo,kumbuka Tanganyika umevaa koti la Muungano na hadi sasa kuna maswala takribani 22 ya muunganoKwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Na zanzibar kwenye serikali yao kuna wakristo wangapi..
Mtu asiteuliwe kwa kuangalia dini ama race,bali uwezo.
Ambao ni:
1. Ummy Mwalimu.
2. Joyce Ndalichako.
3. Jenista Mhagama
4 wanne nani vile?
Tofautisha Serikali ya Mapinduzi ZNZ na Jamhuri y Muungano wa Tanzania..titles zinajieleza. Ila kungekua na Serikali ya Tanganyika then no visiwani ingekua sahihiKwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Na zanzibar kwenye serikali yao kuna wakristo wangapi..
Mtu asiteuliwe kwa kuangalia dini ama race,bali uwezo.
Sijui ndo yule mama GwajimaAmbao ni:
1. Ummy Mwalimu.
2. Joyce Ndalichako.
3. Jenista Mhagama
4 wanne nani vile?
Lazima uwiano uwe katika Uwaziri? Manaibu wangapi?Sio Doroth Gwajima?
Mzanzibar ni Mtanzania anaweza kuwa waziri au hata Rais wa Tanzania ila Mtanganyika sio Mzanzibar hivyo hategemewi kuwa waziri Zanzibar au Rais.Kwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Na zanzibar kwenye serikali yao kuna wakristo wangapi..
Mtu asiteuliwe kwa kuangalia dini ama race,bali uwezo.
Kuna watu humu, watakuelewa labda mpaka uwapasue kichwa!Tofautisha Serikali ya Mapinduzi ZNZ na Jamhuri y Muungano wa Tanzania..titles zinajieleza. Ila kungekua na Serikali ya Tanganyika then no visiwani ingekua sahihi
Tumia akili kufikiri, acha ushabiki usiokuwa na TIJa, hii ni SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. Elewa inapaswa kuundwa na watu ganiKwan kwenye serikali ya Zanzibar kuna wabara wangap?
Na zanzibar kwenye serikali yao kuna wakristo wangapi..
Mtu asiteuliwe kwa kuangalia dini ama race,bali uwezo.
Hivi yule mama ana undugu na jamaa wa mkono wa baunsa?Sijui ndo yule mama Gwajima
Waziri wa afyaAmbao ni:
1. Ummy Mwalimu.
2. Joyce Ndalichako.
3. Jenista Mhagama
4 wanne nani vile?
Zanzibar wana cabinet yao huko.Other interesting cabinet stats minus deputies:
Full ministers – 23
19 (83%) are men
4 (17%) are women
9 (39%) are PhD holders
0 -member from Zanzibar