Mlioko kwenye ndoa mnashindaje hili jambo?

Mlioko kwenye ndoa mnashindaje hili jambo?

Hujapata anayekoroma usiku bado.

Kua uyaone.

Tafuta unayeendana naye na anayeendana nawe.
 
Hujapata anayekoroma usiku bado.

Kua uyaone.

Tafuta unayeendana naye na anayeendana nawe.
huyo ninamuacha on the spot.

Kukoroma halafu mimi sikoromi hilo ni tatizo, usingizi hauwezi kuja.
 
huyo ninamuacha on the spot.

Kukoroma halafu mimi sikoromi hilo ni tatizo, usingizi hauwezi kuja.
Hahaha, sasa wewe unajuaje kwamba hukoromi, wakati wanaokorma wanakuwa wamelala?
 
Hahaha, sasa wewe unajuaje kwamba hukoromi, wakati wanaokorma wanakuwa wamelala?
Nimesoma chuo tulikuwa tunashare chumba watu wanne.

Kila mtu alikuwa ana weakness yake usiku.

Mmoja alikuwa analala chali huku ametawanya miguu yote miwili.

Vijana wa siku hizi tunasema kifo cha mende, sasa tulikuwa tunashangaa sana inakuwaje mwanaume analala vile.

Kwahiyo kulala wakati wenzio wako macho ilikuwa kawaida sana, na ukiamka lazima tukuambie tatizo lako.
 
Nimesoma chuo tulikuwa tunashare chumba watu wanne.

Kila mtu alikuwa ana weakness yake usiku.

Mmoja alikuwa analala chali huku ametawanya miguu yote miwili.

Vijana wa siku hizi tunasema kifo cha mende, sasa tulikuwa tunashangaa sana inakuwaje mwanaume analala vile.

Kwahiyo kulala wakati wenzio wako macho ilikuwa kawaida sana, na ukiamka lazima tukuambie tatizo lako.
Wewe tatizo lako lilikuwa nini?
 
Back
Top Bottom