Mlioko kwenye ndoa mnashindaje hili jambo?

Mlioko kwenye ndoa mnashindaje hili jambo?

Sijapata bado.

Ila nikipata mtoto mashallah anakoroma, nimempenda, akikoroma mimi nalala nasikiliza BBC World Sevice, tena kwa headphones.

Matokeo bila bila.

Hahaaa
Upendo ni kitu cha ajabu sana unaweza sema hivi ukapata alie na mapungufu ukampenda na yale mapungufu ukayaona ni ya kawaida tu,

Niliona vifaa flan hivi vimetengenezwa kinawekwa mdomoni sijui puani kwa anaekoroma ile sauti haitoki nje ya kukoroma [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upendo ni kitu cha ajabu sana unaweza sema hivi ukapata alie na mapungufu ukampenda na yale mapungufu ukayaona ni ya kawaida tu,

Niliona vifaa flan hivi vimetengenezwa kinawekwa mdomoni sijui puani kwa anaekoroma ile sauti haitoki nje ya kukoroma [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi ndo maana najiandaa kabisa na headphone zangu, isije kuwa tabu buree.
 
Huwa tunabase kwenye yale mema

Mapungufu yanafunikwa na mazuri yake

[emoji252] [emoji479]
 
POVU RUKSA WAKUU
ndio maana wazungu wanaruhuusu watoto wao wakifika miaka 16 kuwa na GF na BF,muanze kuzoeana mapema,lkn Bongo mtu una 35 unapata mwanamke ana 30 yaani lazima kusumbuana .Mwanamke kuna vitu hutakiwi kufanya kujichokonoa puani na vidole, sijui unakula huku unaongea,kutafuna vizuri (table manners ni muhimu sana kwa mtoto wa kike),kuwa mbishi,kutema tema mate njiani nk.Kama huwezi kuvumilia inabidi uwe unamwambia kila mara,yaani ukimwambia kitu mara 10 hasipobadilika huyo kimbia babu.
MTOTO WA KIKE UNATAFUNA KAMA JENERETA?,KWACHA KWACHA KWACHA KWACHA KWACHA KWACHA.
Eti kama Jeneretaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

KAABAD THE GREATEST
 
Akikoroma maana yake hujampa game ya usingizi wa saba.

Akipata game ya usingizi wa saba unakamua mpaka mapafu, anasahau kukoroma usingizini mwenyewe.
Wee wengine kukoroma ni asili sasa wengine kisauti kidogo tu twashtuka usingizi unakuwa wa machale, tena ukimpa game vzuri ndo wengi huzidi kukoroma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anyways mkuu kama ukimpenda mtu aisee hivyo mbona vitu vidogo na vinarekebishika, kuna watu wanavumilia vikubwa na hawasemi mkuu, so muhimu kaa ongea nae tu kuliko kukimbilia humu ukiamin utawapata wazoefu wakushaur, uzoefu unatofautiana mkuu, yawezekana wangu namvumilia tabia ya tofauti na hizo, labda kama umemtaman mkuu bt if you love the lady talk to her

KAABAD THE GREATEST
 
Sasa sijui unamrekebishaje asikorome mkuu?

Kuna mambo madogo madogo yanaudhi,
Kukoroma kuacha ni ngumu sana na ndugu yangu hukoroma sauti inatoka mbali lakini mkewe ana mpenda wala haoni kero. Sisi tusopenda kelele wakati wa Ku sleep tutaisoma number

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jamaa moja mwezi uliopita alikuwa natuambia ofisini kuwa mtu yyte mwenye akili hawezi kuishi na mwanamke! na anasema ukitaka kulijua hilo angalia mwenyewe watu wote wanaojulikana kama wana akili duniani hawakuwahi kuishi na wanawake na kama waliishi nao basi ni kwa muda mchache sana.
 
Hahahaaaa!! Akikoroma mstue asilale chali.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Je akipanga vitu namna uavyopenda unafanyaje???

Bila kusahau akitafuna hafungi mdomo..

Wanawake wa namna hii lazima wasababishe nguvi za kiume ziishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Je akipanga vitu namna uavyopenda unafanyaje???

Bila kusahau akitafuna hafungi mdomo..

Wanawake wa namna hii lazima wasababishe nguvi za kiume ziishe

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unaongea nae tu.
Nguvu hamna alafu mnatusingizia kaka shemeji!!
 
Back
Top Bottom