Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,742
- 21,870
Naanzaje kumrosti pet wangu jamani...
Matani pembeni...msalimie Kaka yako...Leo sijui kaenda wapi.
Naanzaje kumrosti pet wangu jamani...
POVU RUKSA WAKUU
ndio maana wazungu wanaruhuusu watoto wao wakifika miaka 16 kuwa na GF na BF,muanze kuzoeana mapema,lkn Bongo mtu una 35 unapata mwanamke ana 30 yaani lazima kusumbuana .Mwanamke kuna vitu hutakiwi kufanya kujichokonoa puani na vidole, sijui unakula huku unaongea,kutafuna vizuri (table manners ni muhimu sana kwa mtoto wa kike),kuwa mbishi,kutema tema mate njiani nk.Kama huwezi kuvumilia inabidi uwe unamwambia kila mara,yaani ukimwambia kitu mara 10 hasipobadilika huyo kimbia babu.
MTOTO WA KIKE UNATAFUNA KAMA JENERETA?,KWACHA KWACHA KWACHA KWACHA KWACHA KWACHA.
hapo kutafuna kwacha kwacha kumeniacha hoi kabisa yani, mi vitabia vya hovyo hunifanya nisitishe mahusiano, sasa table manners ikimshinda mtu, it's obvious na vingine vitamshinda tuKwa mfuga mbwa huku manzese ndan ndan kabisaNaanzaje kumrosti pet wangu jamani...
Matani pembeni...msalimie Kaka yako...Leo sijui kaenda wapi.
KAbisa.Ukiwa unanunua nguo si huwa unaiangalia/unaichunguza kama iko size yako? Ukikuta iko ok si unainunua.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kabisa mkuu![]()
![]()
hapo kutafuna kwacha kwacha kumeniacha hoi kabisa yani, mi vitabia vya hovyo hunifanya nisitishe mahusiano, sasa table manners ikimshinda mtu, it's obvious na vingine vitamshinda tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mifano hai ipo kibao sana.KAbisa.
Asifikir kuwa kwa vile huyo dada anakera basi wasichana wote wapo hivyo.
Umefupisha ili aelewe vema. Nakauunga mkono 100% na ikiwa mtu ataelewa ulichoandika ataipenda ndoa nayo ndoa itampenda.Urafiki hukutanisha watu ukazaa upendo upendo unazaa ndoa na ndoa inazaa mazoea.
Kuna vitabia vingine huonyesha tabia ya mtu na akishakuwa mzima kubadilika ni ngumukabisa mkuu
kweli mkuu,hapo ndio inabidi kuvumiliana sanaKuna vitabia vingine huonyesha tabia ya mtu na akishakuwa mzima kubadilika ni ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na inabidi kabla ya kuingia kwenye mahusiano ujiridhishe na tabia za mwenzi wako, ili ujue unamvumilia au lah, kwa case ya mleta mada baada ya kupata papuchi na kukidhi haja zake ndo akaona madhaifu ya mwenzakekweli mkuu,hapo ndio inabidi kuvumiliana sana
ahaha hahah tena kala mzigo usiku mzima asbh ndio anaona tabia za ajabuNa inabidi kabla ya kuingia kwenye mahusiano ujiridhishe na tabia za mwenzi wako, ili ujue unamvumilia au lah, kwa case ya mleta mada baada ya kupata papuchi na kukidhi haja zake ndo akaona madhaifu ya mwenzake
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani hana aibu aseme tu hamtaki mdada wa watu asitafte justification nyingine, maana mtu humpata mpenzi wanayeendana kitabiaahaha hahah tena kala mzigo usiku mzima asbh ndio anaona tabia za ajabu