mwita mutundi
Senior Member
- Oct 27, 2022
- 188
- 305
point mkuuKila mtu ni Mtumwa, hakuna exception.
Kuna tofauti ya Mabwana tu, wengine wanajituma wenyewe (na hawa ndio watumwa zaidi maana hufanya kazi kwa moyo wote na hulazimika kufanya hivyo ili watoboe), wengine wanatumwa na wengine (mabosi wao), hawa wanaongoza kwa uvivu na ujanja kazini, isipokua wachache miongoni mwao.
Na kila mmoja anamtegemea mwengine ili maisha yasonge, si busara, si uungwana, wala si ubinadamu kujikweza au kujiona bora kuliko mwengine.
Kua mtumishi sio utumwa chief, bali utumwa ni kuishi maisha ya kumtegemea mtoa maamuzi ama kuishi maisha ya kutokujua kesho/hatma yako ama kuishi kwa kusubiri fulani akubali ama akatae (haujui)Mtumishi (mzizi wa neno(Mtumwa)
Naona umewahi sana mkuu...Sjaelewa @stephat
Ndio nini hiyo?Salam, Wadau wazito mambo yakoje?
hakuna aijuaye kesho mkuu! hayupo!!! ndio maana tunamwamini MUNGU. Ndio maana ni lazima tuyakabidhi maisha yetu kwa Bwana Yesu.Kua mtumishi sio utumwa chief, bali utumwa ni kuishi maisha ya kumtegemea mtoa maamuzi ama kuishi maisha ya kutokujua kesho/hatma yako ama kuishi kwa kusubiri fulani akubali ama akatae (haujui)
Wala sitashangaa. Last year iliongezeka 14k kwangu7500X2=15, 000/-
Hiyo sio elfu sabini na tano. Ni elfu saba miatano ππ(natania)
Ilikuwa trick ....kuonyesha boost hewa ha haaaa!!! Kuna jamaa alisema opium zipo za aina nyingi, akasema kuna "kubeti" na kupokea "mshahara mwezi" !!! Nilikuwa sijamuelewaNi normal annual increment tu
Na ka arrear cha July basi.
Mishahara imeongezwa kwa baadhi ya watu tu.
Asanteni kwa uvumilivu
Utafungwa ha ha ha aaa!!! (Natania). Kajichane Mkuu!!!Nshachukua Mazaga zaga kwa mango,Nyongeza italipaView attachment 2718450
Kujichana unatumia mikono,Kula unatumia mikono,kile kitendo cha kupeleka na kurudisha.Na pia kujichana ni kama kufurahia mloUtafungwa ha ha ha aaa!!! (Natania). Kajichane Mkuu!!!
===
Halafu hawa waliotoa msemo wa "kujichana " walifikiria nini hasa ..hivi kula kunahusishwaje nankujichana? Wataalamu wa lugha njooni.
Kujichana ni kutumbua au kufaidi.Utafungwa ha ha ha aaa!!! (Natania). Kajichane Mkuu!!!
===
Halafu hawa waliotoa msemo wa "kujichana " walifikiria nini hasa ..hivi kula kunahusishwaje nankujichana? Wataalamu wa lugha njooni.
Achana na utumwa (ualimu)Ni hatari
Ujumbe mzuri sana,nauwekea LaminationKila mtu ni Mtumwa, hakuna exception.
Kuna tofauti ya Mabwana tu, wengine wanajituma wenyewe (na hawa ndio watumwa zaidi maana hufanya kazi kwa moyo wote na hulazimika kufanya hivyo ili watoboe), wengine wanatumwa na wengine (mabosi wao), hawa wanaongoza kwa uvivu na ujanja kazini, isipokua wachache miongoni mwao.
Na kila mmoja anamtegemea mwengine ili maisha yasonge, si busara, si uungwana, wala si ubinadamu kujikweza au kujiona bora kuliko mwengine.
Ujumbe mzuri sana,nauwekea LaminationKila mtu ni Mtumwa, hakuna exception.
Kuna tofauti ya Mabwana tu, wengine wanajituma wenyewe (na hawa ndio watumwa zaidi maana hufanya kazi kwa moyo wote na hulazimika kufanya hivyo ili watoboe), wengine wanatumwa na wengine (mabosi wao), hawa wanaongoza kwa uvivu na ujanja kazini, isipokua wachache miongoni mwao.
Na kila mmoja anamtegemea mwengine ili maisha yasonge, si busara, si uungwana, wala si ubinadamu kujikweza au kujiona bora kuliko mwengine.