Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

Twinawe

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2016
Posts
2,513
Reaction score
5,595
Zamani nilikua nashangaa sana navyoona watu wanaacha mapagale zaidi ya miaka 5 kumbe ujenzi sio kitu cha kukurupukia.
Millioni 10 vyumba viwili nimeishia kupaua tu
 
Marahabaaa hujambo?
FB_IMG_1755372245358.jpg
 
Milioni 11 nimejenga vyumba viwili 11 kwa 11 sebule kubwa 12*12 bila kusahau vyoo viwili vya ndani na jiko kubwa 6*6 .
Milango, madirisha ila sijagrill na nishahamia kibishi.
Nb. Nimeijenga nyumba hiyo Dodoma 2024.
Nashangaa m10 umejengaje vyumba viwili
 
Milioni 11 nimejenga vyumba viwili 11 kwa 11 sebule kubwa 12*12 bila kusahau vyoo viwili vya ndani na jiko kubwa 6*6 .
Milango, madirisha ila sijagrill na nishahamia kibishi.
Nb. Nimeijenga nyumba hiyo Dodoma 2024.
Nashangaa m10 umejengaje vyumba viwili
Shida ilianzia kwenye msingi kuipata level msingi umekula pesa nying
 
Hongera Kwa hatua uliyofikia

Kusema kweli, suala la kujenga linahitaji kujipanga pamoja na kujinyima ili uweze kufanikiwa lengo lako la Ujenzi

Kinyume cha hapo, unaweza kuzeeka na kufikia umri wetu Babu zenu pasipo kumiliki kibanda hata cha milioni 30

Binafsi napenda kujenga

Japo nafanya Kwa kujinyima mno

Kwenye shilingi 10,000 niipatayo basi shilingi 7,000 naipeleka kwenye Ujenzi na kuishia kula 3,000 iliyobaki 🙌
 
Zamani nilikua nashangaa sana navyoona watu wanaacha mapagale zaidi ya miaka 5 kumbe ujenzi sio kitu cha kukurupukia.
Millioni 10 vyumba viwili nimeishia kupaua tu
Kwahiyo hela unajenga hizo room mbili Hizi hizi tunazo panga sisi hata kwenye mkondo wa maji na inabaki chenchi haijalishi unajenga mkoa gani.
 
Back
Top Bottom