Kama umekuwa wa kwanza kufowardiwa ,narudia tena, kufowadiwa meseji ya Happy valentine na mtu mwingine kabla ya wewe kumtumia huyo mtu, jua tu aliyekuforwardia anathaminiwa na kukumbukwa na wengine zaidi ya wewe unavyomkumbuka yeye. Na usikute unapewa meseji iliyotoka kwa mchepuko.
Kama hujanielewa nalo ni tatizo lingine
Otherwise epuka KUFOWADI meseji za Valentine wishes, Ila Fanya kutuma hizo meseji.
Happy valentine's day kwenu wote. Mungu awabariki
Kama hujanielewa nalo ni tatizo lingine
Otherwise epuka KUFOWADI meseji za Valentine wishes, Ila Fanya kutuma hizo meseji.
Happy valentine's day kwenu wote. Mungu awabariki