Traveller_mona
Member
- Jan 11, 2019
- 94
- 161
sisi sote tupo safarini mwenzetu amefika safari yake tupo nyuma yake one day tutaonana.
mkuu pole sana mungu akujaze moyo wa subira.
mkuu pole sana mungu akujaze moyo wa subira.
Mimi nilimpoteza mama mwaka 2020, nikampoteza mtoto mwaka 2021, mwaka huo huo 2021 mwezi uliofuata nikampoteza baba...haya mambo nikumuachia Mwenyezi Mungu tu na katika kipindi hicho kila jambo unaloliwaza kumbuka kwamba Mungu yupo na unazidi kumuomba yeye akupe uvumilivu na akuvushe salama...pia amini wazazi wapo mahali salama na siku Moja tutaonana katika heriiii ....Wandugu habari, mama alikuwa mgonjwa na akaanza matibabu ila akiwa hospital akafariki. Hapa naenda msibani, ila siwezi kuvumilia kulia mara kwa mara licha ya kujikaza.
Kwa mliopata hii changamoto, mliwezaje kumove on? Nikifikiria ameenda bado mdogo hata 50 hajafika, ni mengi nawaza yananiumiza ila sometimes inabidi nifanye ujinga tuu ili kupoteza mawazo.
Pole sana.Wandugu habari, mama alikuwa mgonjwa na akaanza matibabu ila akiwa hospital akafariki. Hapa naenda msibani, ila siwezi kuvumilia kulia mara kwa mara licha ya kujikaza.
Kwa mliopata hii changamoto, mliwezaje kumove on? Nikifikiria ameenda bado mdogo hata 50 hajafika, ni mengi nawaza yananiumiza ila sometimes inabidi nifanye ujinga tuu ili kupoteza mawazo.
Mkuu Mimi mama yangu alifariki akiwa na umri mdogo Sana yaani alikuwa na miaka 32 Mimi nikiwa na miaka 7 tuWandugu habari, mama alikuwa mgonjwa na akaanza matibabu ila akiwa hospital akafariki. Hapa naenda msibani, ila siwezi kuvumilia kulia mara kwa mara licha ya kujikaza.
Kwa mliopata hii changamoto, mliwezaje kumove on? Nikifikiria ameenda bado mdogo hata 50 hajafika, ni mengi nawaza yananiumiza ila sometimes inabidi nifanye ujinga tuu ili kupoteza mawazo.
Dah sasa ambao mama zetu walitangulia tukiwa na 3yrs tukoment wapi jmniMkuu Mimi mama yangu alifariki akiwa na umri mdogo Sana yaani alikuwa na miaka 32 Mimi nikiwa na miaka 7 tu
Tuna zowea lakini hatusahau. Pole ndugu yanguKiukweli acha tu ni ngumu kusahau anayesema kuna kusahau alijamkuta
Hakuna kitu ambacho nilikuwa naogopa kama kufiwa na wazazi nashukuru MUNGU wazazi wote wapo hai ....pole Sana mkuuwe unasemea 50, mie mama alitutoka akiwa 40 yrs. Mpaka kesho siamini kama alienda kwa haki.
Huna jinsi zaidi ya kulia mkuu ili utoe uchungu moyoni.
Nisha cool mkuuHakuna kitu ambacho nilikuwa naogopa kama kufiwa na wazazi nashukuru MUNGU wazazi wote wapo hai ....pole Sana mkuu