Mliofiwa na wazazi (mama), mliwezaje kuvuka kipindi hiki?

Ok9

JF-Expert Member
Oct 5, 2013
4,526
4,090
Wandugu habari, mama alikuwa mgonjwa na akaanza matibabu ila akiwa hospital akafariki. Hapa naenda msibani, ila siwezi kuvumilia kulia mara kwa mara licha ya kujikaza.

Kwa mliopata hii changamoto, mliwezaje kumove on? Nikifikiria ameenda bado mdogo hata 50 hajafika, ni mengi nawaza yananiumiza ila sometimes inabidi nifanye ujinga tuu ili kupoteza mawazo.
 
Wandugu habari, mama alikuwa mgonjwa na akaanza matibabu ila akiwa hospital akafariki. Hapa naenda msibani, ila siwezi kuvumilia kulia mara kwa mara licha ya kujikaza.

Kwa mliopata hii changamoto, mliwezaje kumove on? Nikifikiria ameenda bado mdogo hata 50 hajafika, ni mengi nawaza yananiumiza ila sometimes inabidi nifanye ujinga tuu ili kupoteza mawazo.
Pole Sana.Amini yupo kwenye pumziko lenye amani
 
Ni ngumu sana hii hali. Ni mwaka sasa umepita tangu mama yangu mpenzi alipoitwa mbele za haki. Ni kama imetokea jana tu. Nikienda nyumbani simkuti sebuleni najua labda yuko uani napitiliza nako hayupo. Ukiwa mkubwa mama ametuachia hasa baba ambaye ni mtu mzima. Ila Kazi ya Mungu haina makosa maana ni kwake tulitoka na kwake ni lazima tutarejea. Pole sana mtoa mada. Mungu akutie nguvu
 
Wandugu habari, mama alikuwa mgonjwa na akaanza matibabu ila akiwa hospital akafariki. Hapa naenda msibani, ila siwezi kuvumilia kulia mara kwa mara licha ya kujikaza.

Kwa mliopata hii changamoto, mliwezaje kumove on? Nikifikiria ameenda bado mdogo hata 50 hajafika, ni mengi nawaza yananiumiza ila sometimes inabidi nifanye ujinga tuu ili kupoteza mawazo.
Mungu akutie nguvu sana maana. Ukizingatia yeye ndio alikuwa mtu wa karibu kwako.kikubwa mungu ailaze mahali pema roho ya bi. Mkubwa

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Wandugu habari, mama alikuwa mgonjwa na akaanza matibabu ila akiwa hospital akafariki. Hapa naenda msibani, ila siwezi kuvumilia kulia mara kwa mara licha ya kujikaza.

Kwa mliopata hii changamoto, mliwezaje kumove on? Nikifikiria ameenda bado mdogo hata 50 hajafika, ni mengi nawaza yananiumiza ila sometimes inabidi nifanye ujinga tuu ili kupoteza mawazo.
Pole sana, mtumaini Mungu atakuvusha salama.
 
Wandugu habari, mama alikuwa mgonjwa na akaanza matibabu ila akiwa hospital akafariki. Hapa naenda msibani, ila siwezi kuvumilia kulia mara kwa mara licha ya kujikaza.

Kwa mliopata hii changamoto, mliwezaje kumove on? Nikifikiria ameenda bado mdogo hata 50 hajafika, ni mengi nawaza yananiumiza ila sometimes inabidi nifanye ujinga tuu ili kupoteza mawazo.
Pole sana ndugu, ufarijike katika kipindi hichi kwako.
 
Wandugu habari, mama alikuwa mgonjwa na akaanza matibabu ila akiwa hospital akafariki. Hapa naenda msibani, ila siwezi kuvumilia kulia mara kwa mara licha ya kujikaza.

Kwa mliopata hii changamoto, mliwezaje kumove on? Nikifikiria ameenda bado mdogo hata 50 hajafika, ni mengi nawaza yananiumiza ila sometimes inabidi nifanye ujinga tuu ili kupoteza mawazo.
we unasemea 50, mie mama alitutoka akiwa 40 yrs. Mpaka kesho siamini kama alienda kwa haki.
Huna jinsi zaidi ya kulia mkuu ili utoe uchungu moyoni.
 
Back
Top Bottom