Mwelewa
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 2,343
- 3,281
Salute bosses!
Uzi huu nauandika mahususi kwaajili ya kupeana mbinu za biashara ulizotumia wakati unaanza biashara yako hadi ukafanikiwa.
Nafahamu hapa JF wapo wafanyabiashara wenye mafanikio wanaoweza kuelezea namna walivyo anzisha biashara zao hatimaye wakafanikiwa.
Je, ulifanyaje hadi ukafanikiwa?
Makosa yapi yakuepuka wakati unaanza biashara?
Wakuu naamini kupitia huu uzi wajasiriamali wadogo wanaoanza biashara watajifunza na itakuwa HESHIMA kwako kutoa ushauri wako hapa JF kwa manufaa ya wengi.
Tafadhali share story yako jinsi mambo yalivyokuwa wakati unaanza hadi sasa biashara ilipofika.
Nimefikiria nianzishe huu uzi kwasababu wajasiriamali wanaoanza hawaelewi njia sahihi zakufuata ili kusimamisha biashara zao.
Tafadhali share story yako tupate kujifunza kwa pamoja.
Shukrani
Uzi huu nauandika mahususi kwaajili ya kupeana mbinu za biashara ulizotumia wakati unaanza biashara yako hadi ukafanikiwa.
Nafahamu hapa JF wapo wafanyabiashara wenye mafanikio wanaoweza kuelezea namna walivyo anzisha biashara zao hatimaye wakafanikiwa.
Je, ulifanyaje hadi ukafanikiwa?
Makosa yapi yakuepuka wakati unaanza biashara?
Wakuu naamini kupitia huu uzi wajasiriamali wadogo wanaoanza biashara watajifunza na itakuwa HESHIMA kwako kutoa ushauri wako hapa JF kwa manufaa ya wengi.
Tafadhali share story yako jinsi mambo yalivyokuwa wakati unaanza hadi sasa biashara ilipofika.
Nimefikiria nianzishe huu uzi kwasababu wajasiriamali wanaoanza hawaelewi njia sahihi zakufuata ili kusimamisha biashara zao.
Tafadhali share story yako tupate kujifunza kwa pamoja.
Shukrani