sizonjemadawa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 1,053
- 1,303
Wakuu
Maisha ni mapambano ila kwangu mbona kila nachofanya kinaenda kombo yaani miloss tu, mpaka sasa nakata tamaa ya kufanya haya mabiashara,
Hivi na nyinyi mliotoboa kwenye biashara mliwezaje, mbinu gani mlizitumia, au mlianza kupata hassara kama Mimi,
Ni changamoto zipi mlizipitia kabla ya kusimama ki biashara
Maisha ni mapambano ila kwangu mbona kila nachofanya kinaenda kombo yaani miloss tu, mpaka sasa nakata tamaa ya kufanya haya mabiashara,
Hivi na nyinyi mliotoboa kwenye biashara mliwezaje, mbinu gani mlizitumia, au mlianza kupata hassara kama Mimi,
Ni changamoto zipi mlizipitia kabla ya kusimama ki biashara