B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,357
- 4,383
Unataka kusema kwamba mtoto huyo aweza kua anatembea na babaye!!Huenda tusielewane lakini ukweli ni huu.
Ukiona mkeo anashirikiana sana na babaye kukuhujumu, hiyo ni taa nyekunde na kiashiria cha jambo lisilo la kawaida kati yao. Mara nyingi mabinti wa hivi huwa wana ajenda za siri na baba zao tangu mwanzo na wewe mwanaume unakuwa umetumika kama kiungo cha kuwafanya wawe huru.
Hutaki kuamini? Aga kwa mkeo kuwa umesafiri kwenda mbali na umuage baba mkwe wako kisha fanya uchunguzi wa kina katika hizo siku zote kuanzia mienendo ya mkeo akitoka, anaongea na nani n.k kisha uone mara ngapi anakutana na baba ake. Kisha leta ushuhuda.