prospilla
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 1,111
- 1,637
Naona kabisa ndoa haina ahueni yoyote, migogoro haiishi na chanzo kikubwa ni ubishi na kiburi cha mke wangu na pia baba mkwe anaongea sana maneno ya kumjaza kiburi bintiye, hilo ndio linapeleka zaidi ndoa yetu mtaroni.
Kama kuna ushauri naomba.
Kama kuna ushuhuda naomba, jinsi ilivyo ngumu kukabiliana na mazoea mwanzo.
Ahsante.
Kama kuna ushauri naomba.
Kama kuna ushuhuda naomba, jinsi ilivyo ngumu kukabiliana na mazoea mwanzo.
Ahsante.