Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,643
- 6,813
Ktk vitu havibadiliki kwakuwa vimerithiwa ni kiburi, ktk ndoa nyingi magomvi mengi kabisa ni kiburi kwa mwanamke, kisirani kisicho na mwisho, ubabe na migomo baridi, kutokuheshimu mume, kutokujali mume.
Ushauri mkuu kama mazungumzo yamekosa kuleta amani, basi fikiria maisha yako na wanao na uache kbs kumfikiria mwanamke, mtelekeze kiaina ktk akili yako ili uweze kufanya mambo ya msingi yenye tija na maendeleo kwak9 na kwa wanao.
Mfanye kama mfanyakazi wa nyumbani bila kumwambia, usimnunie usigombane nae, usimchukie ila usimfikirie na usimpe nafasi akufikirishe. Sio kazi rahisi ila ukiifanya kwa muda utaimudu.
Mfano ukitaka sex na akagoma usichukie ukiamka asubuhi siku iwe sawa na usitake tena sex wala kuulizia mpaka ataanza kujistukia mwenyewe. Chochote utakachomwambia akigoma au kupinga muache fanya mwenyewe na usimtume tena kitu hicho, fanya aone kuwa kumbe unaweza bila yeye.
Ushauri mkuu kama mazungumzo yamekosa kuleta amani, basi fikiria maisha yako na wanao na uache kbs kumfikiria mwanamke, mtelekeze kiaina ktk akili yako ili uweze kufanya mambo ya msingi yenye tija na maendeleo kwak9 na kwa wanao.
Mfanye kama mfanyakazi wa nyumbani bila kumwambia, usimnunie usigombane nae, usimchukie ila usimfikirie na usimpe nafasi akufikirishe. Sio kazi rahisi ila ukiifanya kwa muda utaimudu.
Mfano ukitaka sex na akagoma usichukie ukiamka asubuhi siku iwe sawa na usitake tena sex wala kuulizia mpaka ataanza kujistukia mwenyewe. Chochote utakachomwambia akigoma au kupinga muache fanya mwenyewe na usimtume tena kitu hicho, fanya aone kuwa kumbe unaweza bila yeye.