Mlioacha kazi za kuajiriwa na kujiajiri wenyewe nahitaji msaada wenu

mkuu, nakuomba take from me, kujiajiri mwenyewe kunalipa balaa fanya maamuzi na usiangalie nyuma, unatakiwa kuwa na sifa chache tu muhimu. yaani moyo wa simba, speed ya swala na kulijua soko lako. i mean be a visionary, be patient, know your customer, know your product and know the Industry.
niliajiriwa kwa miaka 4 nikaona sitoki na mshahara wa laki 5 unusu. niliacha kazi nikasema am not going to try but am going to do business.
nilipata shida mwaka wa kwanza sasa nina miaka 6 uraiani, kwa mwaka jana nilifika turnover ya robo Bilion, kwa mwaka huu biashara ni mbaya sana lkn inshaalah naweza kufika 100 milion.
lakini unafanya kazi km punda, unatumia 95%ya ubongo kufikiri vyema kwani ukilegea unapika hasara. kuna jamaa ni mteja wangu yeye kwa mwaka jana alipiga turnover ya Trilion kadhaa, yeye ana investmemet inayoweza kufika 8 trilion. ni km hadithi lkn ni kweli. kwa uwezo wa M.Mungu nakusudia kufungua kiwanda july 2019. lkn sijui km ningewaza haya km ningekuwa nimeajiriwa. kuna phalsapha moja huwa naitumia sana, kuwa watu waliosoma hawabebi Risk, sisi tusiosoma tunabeba sana risk. ndo maana richest people duniani wengi wana PhD za Heshim, ni ngumu kumkuta Professor Bilionea. karibu ndugu ya kushare ni mengi sana.

Mkuu sijui unajishughulisha na nini? Natamani kujua bila shaka eletronics na simu
 
mkuu, nakuomba take from me, kujiajiri mwenyewe kunalipa balaa fanya maamuzi na usiangalie nyuma, unatakiwa kuwa na sifa chache tu muhimu. yaani moyo wa simba, speed ya swala na kulijua soko lako. i mean be a visionary, be patient, know your customer, know your product and know the Industry.
niliajiriwa kwa miaka 4 nikaona sitoki na mshahara wa laki 5 unusu. niliacha kazi nikasema am not going to try but am going to do business.
nilipata shida mwaka wa kwanza sasa nina miaka 6 uraiani, kwa mwaka jana nilifika turnover ya robo Bilion, kwa mwaka huu biashara ni mbaya sana lkn inshaalah naweza kufika 100 milion.
lakini unafanya kazi km punda, unatumia 95%ya ubongo kufikiri vyema kwani ukilegea unapika hasara. kuna jamaa ni mteja wangu yeye kwa mwaka jana alipiga turnover ya Trilion kadhaa, yeye ana investmemet inayoweza kufika 8 trilion. ni km hadithi lkn ni kweli. kwa uwezo wa M.Mungu nakusudia kufungua kiwanda july 2019. lkn sijui km ningewaza haya km ningekuwa nimeajiriwa. kuna phalsapha moja huwa naitumia sana, kuwa watu waliosoma hawabebi Risk, sisi tusiosoma tunabeba sana risk. ndo maana richest people duniani wengi wana PhD za Heshim, ni ngumu kumkuta Professor Bilionea. karibu ndugu ya kushare ni mengi sana.
Hivi ndg yangu trillion 8 unaijua lkn?

hio trillion 8 unayoisema ni umejumlisha utajiri wa (Bakhressa+Mengi+Rostam+Dewji) na bado combined hawajafikia hio trillion 8.Atakua ni tajiri gani hapa bongo mwenye pesa hio?Kudanganyana sio kuzuri aisee.

Hoja kama hio yako ndiyo inafanya ule msemo wa za kuambiwa changanya na zako aisee.
 
Hivi ndg yangu trillion 8 unaijua lkn?

hio trillion 8 unayoisema ni umejumlisha utajiri wa (Bakhressa+Mengi+Rostam+Dewji) na bado combined hawajafikia hio trillion 8.Atakua ni tajiri gani hapa bongo mwenye pesa hio?Kudanganyana sio kuzuri aisee.

Hoja kama hio yako ndiyo inafanya ule msemo wa za kuambiwa changanya na zako aisee.
tutashangaaa sana humu ndani nakuambia
 
Natamani sana kujiajiri kwenye ufugaji wa samaki! Sasa mambo yalivyobana pesa ya kuanzia inatoka wapi? Lakini siku nikiweza tu hawataniona tena na hizi kazi zao ambazo zimekuwa za kijinga kijinga!!
 
mkuu, nakuomba take from me, kujiajiri mwenyewe kunalipa balaa fanya maamuzi na usiangalie nyuma, unatakiwa kuwa na sifa chache tu muhimu. yaani moyo wa simba, speed ya swala na kulijua soko lako. i mean be a visionary, be patient, know your customer, know your product and know the Industry.
niliajiriwa kwa miaka 4 nikaona sitoki na mshahara wa laki 5 unusu. niliacha kazi nikasema am not going to try but am going to do business.
nilipata shida mwaka wa kwanza sasa nina miaka 6 uraiani, kwa mwaka jana nilifika turnover ya robo Bilion, kwa mwaka huu biashara ni mbaya sana lkn inshaalah naweza kufika 100 milion.
lakini unafanya kazi km punda, unatumia 95%ya ubongo kufikiri vyema kwani ukilegea unapika hasara. kuna jamaa ni mteja wangu yeye kwa mwaka jana alipiga turnover ya Trilion kadhaa, yeye ana investmemet inayoweza kufika 8 trilion. ni km hadithi lkn ni kweli. kwa uwezo wa M.Mungu nakusudia kufungua kiwanda july 2019. lkn sijui km ningewaza haya km ningekuwa nimeajiriwa. kuna phalsapha moja huwa naitumia sana, kuwa watu waliosoma hawabebi Risk, sisi tusiosoma tunabeba sana risk. ndo maana richest people duniani wengi wana PhD za Heshim, ni ngumu kumkuta Professor Bilionea. karibu ndugu ya kushare ni mengi sana.
Dah!,mpk mate yamenitoka kwa huo mtonyo bro...,
 
hio trillion 8 unayoisema ni umejumlisha utajiri wa (Bakhressa+Mengi+Rostam+Dewji) na bado combined hawajafikia hio trillion 8.Atakua ni tajiri gani hapa bongo mwenye pesa hio?Kudanganyana sio kuzuri aisee.

Hoja kama hio yako ndiyo inafanya ule msemo wa za kuambiwa changanya na zako aisee.
dah!,jamaa katuchomesha mahindi!,bongo Nyoso!
 
Kwa atakayepitia hapa nafikiri mjinga atamuona ni nani kulingana na comment zetu,sina hofu wala uoga kimaisha naishi maisha ya kawaida kabisa amabayo nasema Mwenyezi Mungu asante (Hivi wakati mwingine mnaposhindwa kukoment kistaarabu mnapungukiwa nini? Hili ni jukwaa tu sio hukukumu wala hatuwezi kumlazimisha aliyeoomba ushauri aamue kama sie tunavyotaka ),safari ya biashara ina kitu inaitwa break even period,ni kipindi ambacho biashara lazima ikutegemee kabla hujaitegemea,ok...sawa nakubaliana na wewe kazi aache kabla hajaanza kuisoma " return" ya biashara atakuwa na mkondo gani wa kuimarisha biashara hiyo?,kumbuka maisha ya kila siku yanahitaji pesa itoke ndani "and at the same time" hujaisoma poa return ya biashara, akikurupuka kuacha kazi atakumbuka.Kaka hata sisi pia ni waajiriwa lakini "at the same time" tunaujasilia mali na maisha yanasonga.
Narudia tena kazi asiaache mpake aweze kusoma return ya biashara imekaaje,kwani kazi ni jela hawezi kuwa muuajiriwa na mwisho awa siku mambo yakisimama wima kazi unaacha ?maisha ya biashara sio 1+1=2.
Acha kumtia uoga mwenzio wewe we endelea kuajliwa mwenzio aafanye kazi zake mwenyewe
 
Umenipa ushujaa
Karibu sana mdau labda nikutie Moyo tu kwa uamuzi wako na nikupe mfano wa kosa linalofanywa na wengi walio ajiriwa. Kuna watu kama wewe huanzisha miradi hii na kuajiri watu waisimamie, unakuta anayesimamia haifanyi kazi ipsavyo ila atakuibia kidogo kidogo na akiondoka anaanzisha biashara kama hiyo bila wewe kufahamu alikuwa anakuibia kiasi cha kupata mtaji. Tunaona vijana wengi wanavyo ajiriwa kwenye maduka hasa ya rejareja na kuacha kazi baadae na kufungua maduka binafsi wakati mshahara wake ulikuwa elfu hamsini au laki. Sasa aliyemuajiri angeacha hiyo kazi anayofanya na akasimamia mradi mwenyewe si mradi ungemtoa?

Kikubwa kuwa jasiri na ujue kujifariji maana kuna nyakati mambo yanaweza kuwa hovyo ukawaza kurudi kuajiriwa. Self motivation is key to succeed in this. Kila la heri.
 
Jilipue kijana, kata minyororo ya utumwa, kuajiriwa ni mfumo wa ki Babylon( Babylon system) yaani unatumikishwa age ikifika to the maximum wana kudump then anachukua nafasi mtu mwingine na zoezi hilo huendelea kizazi hadi kizazi.

Fanya maamuzi magumu na hutojutia abadani, kataa utumwa, kuajiriwa ni uwoga wa maisha, hakuna cha zaidi ya kupata vijihela ya kula, na kununulia watoto nguo za sikukuu, ikijitahidi sanaa utajenga kibanda kwa mkopo nao utakutesa maishani, stuka.
 
Habari wanajamvi, mimi ni muajiriwa katika shirika Moja lisilo la kiserikali na kazi ninayo jishuhulisha nayo nje ya ajira yangu ni kilimo. Pia nina malengo ya kufuga kuku wa aina zote yaani chotara, wa mayai na wanyama na malengo yangu ni kuacha kazi na kusimamia shuhuli zangu za kilimo na ufugaji.

Sasa wadau ambao mliacha kazi za kuajiriwa na kujiajiri wenyewe mlipitia changamoto gani pindi Mlipoacha kazi.
Hio sio project inayohitaji uache kazi.Labda kama una mipango mingine.Hio mpe wife asimamie
 
Mm nina miez kadhaa tangu nimejing'atua selikalini, mpaka sasa changamoto ninayoipata ni jamii, ndugu na marafiki kuniona kama nimetenda dhambi, ama kama sina akili timamu... jambo ambalo linapelekea kutowamini tena niliokuwa ninawaamini coz wanakuwa kinyume na fıkra zangu, hata ninaowaona kuniunga mkono ninaona Unafiki flani...
So kwa uzoefu wangu mdogo nina haya kwaajiri yako

1.nafikiri ni muhimu kujidhatiti vilivyo kimawazo na msawazo wa akili ili hata ukipitia vipindi vigumu uweze kujikwamua mwenyewe. Yaani kutegemea zaidi nguvu iliyopo ndani yako Mwenyewe.

2.Hadhi yako itabadilika(kimwinekano), japo sijui unafanya nini kwa sasa lkn kwa kuwa utakuwa mjasilia mali ile kuonekana Nadhifu kutapungua na kama ilivyo kwa wengi yamkini ukachukuliwa kama mtu mwenye hadhi ya chini, japo huenda sio. So chukulia poa.

3.kuwa na muda mdogo wa kupumzika.
Hii ınaweza kuwa changamoto au la! Mkiwa kwenye Ajira mnamuda wa kurepot kazini na kuondoka, lkn ukijiajiri hiyokitu haizingatiwi sana(utaendeshwa na Malengo/Shahuku ama hali ya mambo kwa ujumla, mfano unaweza ukawa unafanya kaz ya watu wawili had wanne ili kupunguza gharama za uendeshaji hivyo kuwa na muda mfupi wa kupumzika.... hata ivyo uzur ni kwamba matokeo ya kutumika huko yanakuwa ni yakwako mwenyewe .

4.Changamoto ya mfumo mpya wa maisha.
Ukiamua kujiajiri mwenyewe tena kwa kuacha Ajira flani unakuwa na changamoto ya kuwa na mfumo mpya wa maisha, kama kuwa na marafiki wachache kwakuwa hutokuwa na muda wa kutosha kuwekeza kwa marafiki.. na ukifanikiwa utaonekana unajidai, ama utainekana unadharau na mengine kemkem.... lkn mm nashauri kuwa imara hilo likitokea, usitake sana kuridhisha watu na kuhalalisha kujihujumu kwa kupoteza muda ama pesa! Kataa.

Ninamuda mfupi huku nje kama nilivosema so changamoto zaidi bado, zaidzaid mambo yanaenda vzur japo ni mapema mno kunitumia mimi kama usahihi wa hilo jambo.
Ukihitaji ushauri ama kujadili zaid twende kando.

hongera sana kwa kutoa uhalisia sahihi wa jambo, nakuombea mafanikio pia elewa hakuna matatizo ya kudumu.
 
Hivi ndg yangu trillion 8 unaijua lkn?

hio trillion 8 unayoisema ni umejumlisha utajiri wa (Bakhressa+Mengi+Rostam+Dewji) na bado combined hawajafikia hio trillion 8.Atakua ni tajiri gani hapa bongo mwenye pesa hio?Kudanganyana sio kuzuri aisee.

Hoja kama hio yako ndiyo inafanya ule msemo wa za kuambiwa changanya na zako aisee.

Huyu ana kejeli fulani hivi
 
mhi, fata malengo yako mkuu hapa kila mtu atakushauri kulingana na level ya ujasiri wake
Sahihi kwsbb kuna wengine wana damu ya utumwa ukimshauri ajiajiri, wkt anatamani kutumikishwa akuelewi lkn kuna watu majasiri walioajiriwa kw lengo la kupata mtaji baadae anaondoka kwenda kupambana na maisha yke Hawa watu wko wachache hata umu wapo
 
why you guys mix up investment asset and turnover. those are quite different stuffs. your house is asset/ investment, your salary at the end of the year is annual turnover.
Your house is not an asset... Your house is a LIABILITY.

For a mali..!!! to be an asset should generate income more than it consume.

Cash inflow < Cash outflow
 
Back
Top Bottom