kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,894
mkuu, nakuomba take from me, kujiajiri mwenyewe kunalipa balaa fanya maamuzi na usiangalie nyuma, unatakiwa kuwa na sifa chache tu muhimu. yaani moyo wa simba, speed ya swala na kulijua soko lako. i mean be a visionary, be patient, know your customer, know your product and know the Industry.
niliajiriwa kwa miaka 4 nikaona sitoki na mshahara wa laki 5 unusu. niliacha kazi nikasema am not going to try but am going to do business.
nilipata shida mwaka wa kwanza sasa nina miaka 6 uraiani, kwa mwaka jana nilifika turnover ya robo Bilion, kwa mwaka huu biashara ni mbaya sana lkn inshaalah naweza kufika 100 milion.
lakini unafanya kazi km punda, unatumia 95%ya ubongo kufikiri vyema kwani ukilegea unapika hasara. kuna jamaa ni mteja wangu yeye kwa mwaka jana alipiga turnover ya Trilion kadhaa, yeye ana investmemet inayoweza kufika 8 trilion. ni km hadithi lkn ni kweli. kwa uwezo wa M.Mungu nakusudia kufungua kiwanda july 2019. lkn sijui km ningewaza haya km ningekuwa nimeajiriwa. kuna phalsapha moja huwa naitumia sana, kuwa watu waliosoma hawabebi Risk, sisi tusiosoma tunabeba sana risk. ndo maana richest people duniani wengi wana PhD za Heshim, ni ngumu kumkuta Professor Bilionea. karibu ndugu ya kushare ni mengi sana.
Mkuu sijui unajishughulisha na nini? Natamani kujua bila shaka eletronics na simu