Mlinzi wa Lowassa na Kesi ya Mauaji

Mlinzi wa Lowassa na Kesi ya Mauaji

Funga Meza

Member
Joined
Mar 22, 2015
Posts
5
Reaction score
2
Taarifa z kuaminika nikwamba mlinzi wa Lowassa anaetambulika kwa jina la Aloyce Tendewa yupo mbioni kufunguliwa kesi ya kumtishia kumuua aliyewahi kuwa Katibu binafsi wa Nyerere bwana Kasori Imefahamika Tendewa atapandishwa kizimbani wakati wowote kuanzia sasa.
 
Imefahamika Tendewa atapandishwa kizimbani wakati wowote kuanzia sasa. ... hii ilikuwa ni 24th March 2015!, leo ni tarehe 5 December 2015, huo wakati wowote bado tuu?!

Funga Meza?!, tupe update.

P.
 
Imefahamika Tendewa atapandishwa kizimbani wakati wowote kuanzia sasa. ... hii ni 24th March 2015!.

Funga Meza?!, tupe update.

P.

Katika hili ulitakiwa wewe pia usaidie kutupa update, haya zimwage maana inaonekana unazo, ndio chanzo cha kuufufua huu uzi.
 
Tendewa yupo Usalama wa Taifa. Mtu wa Usalama wa Taifa kazi yake ni hiyo moja tu,kutishia kuua watu.

Na Hata Ukijifanya Kujipendekeza Anaweza Akakuua Vile Vile Na Bado Wewe Uliyeuwawa Ukahukumiwa Hivyo Hivyo Ukiwa Tayari Ni Maiti. Kaka Andrew Uhoiri Mwetu? Wapi Hiyo Msasani au Butiama Kwa Sasa?
 
Na Hata Ukijifanya Kujipendekeza Anaweza Akakuua Vile Vile Na Bado Wewe Uliyeuwawa Ukahukumiwa Hivyo Hivyo Ukiwa Tayari Ni Maiti. Kaka Andrew Uhoiri Mwetu? Wapi Hiyo Msasani au Butiama Kwa Sasa?

Duuuhh!!! Kwa cjui kwa nini hukuweka option ya Tatu..
 
Imefahamika Tendewa atapandishwa kizimbani wakati wowote kuanzia sasa. ... hii ni 24th March 2015!.

Funga Meza?!, tupe update.

P.
Pasco, hawa jamaa wamekaa wote Butiama wakiwa wasaidizi wa Mwalimu hadi alipofariki. Ni kitu gani hasa kinachoweza kuwagombanisha hadi kufikia kitishiana kuuana?! Mzee Kasori kuna kipindi alidaiwa kuikimbia nyumba yake kuepuka hao wauaji. There's more to it than mere politics.
 
Tendewa yupo Usalama wa Taifa. Mtu wa Usalama wa Taifa kazi yake ni hiyo moja tu,kutishia kuua watu.
Mkuu naungana na wewe, kuna baadhi ya kazi, mafunzo na majukumu yao ni kufundishwa kuua tuu, na sio kutishia kuua!. Bodyguards wote wanafundishwa kulenga shabaha kwa dhumuni ya kuua tuu!, hata mimi kuna wakati nilikuwa ni mjeda, kazi ya jeshi ni kuua tuu, sio kujeruhi, wala kutishia!, wakati kazi ya polisi ni kutishia tuu, kujeuhi, na kuua pale tuu inapobidi!.

Pasco
 
Katia Nia ya kuwa Mgombea! ! !

Taarifa z kuaminika nikwamba mlinzi wa Lowassa anaetambulika kwa jina la Aloyce Tendewa yupo mbioni kufunguliwa kesi ya kumtishia kumuua aliyewahi kuwa Katibu binafsi wa Nyerere bwana Kasori Imefahamika Tendewa atapandishwa kizimbani wakati wowote kuanzia sasa.
 
Mkuu naungana na wewe, kuna baadhi ya kazi, mafunzo na majukumu yao ni kufundishwa kuua tuu, na sio kutishia kuua!. Bodyguards wote wanafundishwa kulenga shabaha kwa dhumuni ya kuua tuu!, hata mimi kuna wakati nilikuwa ni mjeda, kazi ya jeshi ni kuua tuu, sio kujeruhi, wala kutishia!, wakati kazi ya polisi ni kutishia tuu, kujeuhi, na kuua pale tuu inapobidi!.

Pasco
kazi ya polisi ni kutisha tu,we mzee wewe!!!

mwanajeshi pia kazi yake sio kuua tu,kazi yake ni kulinda mipaka,kuua sio chaguzi mpaka imebidi sana.

kuua ni jambo nyeti,msilirahisishe.
 
Back
Top Bottom