Funga Meza
Member
- Mar 22, 2015
- 5
- 2
Taarifa z kuaminika nikwamba mlinzi wa Lowassa anaetambulika kwa jina la Aloyce Tendewa yupo mbioni kufunguliwa kesi ya kumtishia kumuua aliyewahi kuwa Katibu binafsi wa Nyerere bwana Kasori Imefahamika Tendewa atapandishwa kizimbani wakati wowote kuanzia sasa.