Mlinzi mpya wa Dr. Slaa

Mlinzi mpya wa Dr. Slaa

frema120

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2012
Posts
5,098
Reaction score
1,341
Habar wadau? Baada ya Kagenzi kufanya yake kwa mgombea atakayependekezwa kupitia UKAWA, sasa amepatiwa mlinzi mpya kijana Allan aliyelelewa na chama kupitia Jimbo la Ubungo kwa muda sana.

attachment.php


Tumpe Moyo, tushirikiane naye na kusaidiana naye vizuri kama chama na wapenda haki.

Mwisho Tusiache kusema mapungufu yake kwa chama n.k, ilitwende salama huko tuendapo.
 

Attachments

  • DSC_4954.JPG
    DSC_4954.JPG
    54.6 KB · Views: 7,616
frema120

===> Kumbe hawa walinzi huwa wanaokotwa tu? Wanapata wapi mafunzo ya ulinzi hasa ya kulinda viongozi?

===> Na yeye ni bei gani? i.e thamani yake, kilo na nusu au dau lake litaongezeka kidogo?
 
Inaonekana hajui kazi yake maana mpaka bosi wake anafungua mlango yeye ndo anarukia kuufungua!
 
Inaonekana hajui kazi yake maana mpaka bosi wake anafungua mlango yeye ndo anarukia kuufungua!

===>Nimemuuliza frema120 naona kabaki kimya, kapitia hata mgambo huyu? Maana msije mkaweka boya hata kumpiga ngwala Dk wakati wa kumuokoa ikawa shida.
 
Last edited by a moderator:
Mbona unaweka wigi kwamba tuache kusema mapungufu yake kwa chama nk. Ina maana ana mapungufu kwa chama? Asije akaishia kuwa kama Kagenzi.
 
Chadema mmumlipe vizuri,mshaara wa laki 4 kwa mwezi kama mlivyokuwa mnamlipa kagenzi ni mdogo sana ndio maana alirubuniwa kwa vipande 150 vya elfu,Jitahidini mumpe hata net ya 2m usafiri binafsi hata Cresta pamoja na mafuta/Dereva,mumpangishie nyumba nzima maeneo ya jirani na Dr Slaa,Boko mkifanya hivyo hatorubunika.
 
frema120

===> Kumbe hawa walinzi huwa wanaokotwa tu? Wanapata wapi mafunzo ya ulinzi hasa ya kulinda viongozi?

===> Na yeye ni bei gani? i.e thamani yake, kilo na nusu au dau lake litaongezeka kidogo?

Hapana huyu kijana, ana mafunzo ya ulinzi kayapata nchi tatu yupo vizuri, tumtie moyo.
 
===>Nimemuuliza frema120 naona kabaki kimya, kapitia hata mgambo huyu? Maana msije mkaweka boya hata kumpiga ngwala Dk wakati wa kumuokoa ikawa shida.

Mkuu yupo vizuri huyo, kuliko hata kagenzi.
 
Last edited by a moderator:
Mbona unaweka wigi kwamba tuache kusema mapungufu yake kwa chama nk. Ina maana ana mapungufu kwa chama? Asije akaishia kuwa kama Kagenzi.

Aha! kijana yupo vizuri sana, but ni mhimu kama wanachama na wapenda haki tueleze mapungufu yake pindi tunapoyabaini.
 
Chadema mmumlipe vizuri,mshaara wa laki 4 kwa mwezi kama mlivyokuwa mnamlipa kagenzi ni mdogo sana ndio maana alirubuniwa kwa vipande 150 vya elfu,Jitahidini mumpe hata net ya 2m usafiri binafsi hata Cresta pamoja na mafuta/Dereva,mumpangishie nyumba nzima maeneo ya jirani na Dr Slaa,Boko mkifanya hivyo hatorubunika.

Wazo zuri sanaaa
 
frema120

===> Kumbe hawa walinzi huwa wanaokotwa tu? Wanapata wapi mafunzo ya ulinzi hasa ya kulinda viongozi?

===> Na yeye ni bei gani? i.e thamani yake, kilo na nusu au dau lake litaongezeka kidogo?

keep on smiling to hide your pain
 
teh teh, kama ccm huwezi kupewa nafasi nyeti kama jina lako la ukoo halitambuliki huko umagambani.
Nasikia hata msafisha ofisi hapo ufipa nae katokea migombani, nyinyi watu hatari sana. Na wewe ni ndasu bin SHIRIMA au NDESHAU?
 
Back
Top Bottom