Jimjuls
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 484
- 161
Nilikuwa jana ofisi za startimes Arusha maeneo ya Friends corner.Nilishangazwa na mlinzi kuwafanyia installment zile decoder zao na kuonyesha jinsi ya kuunganisha.Sasa huyu mlinzi anfanya kazi ya ulinzi au ndo customer care?Na hii nimeona kwenye maeneo mengi sana.Hivi wadau hii inakuja kweli?Ndo maana bongo customer care services ni ovyo ovyo tuuu.