HUWEZI KULINGANISHA VITU VISIVYOKUWA NA UWIANO......Mfano ndege ya abiria na Bajaj japo vyote ni vyombo vya usafiri havina uwiano kabisa na hivyo hutakiwi kuvilinganisha!!!!!
Kwa kuwa hawa unaotaka walinganishwe hawana KINACHOWAWIANISHA...commeting ni ngumu saaanaa hapa.........