LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,115
- 27,099
First of all.let me.declare interest, Mimi NI Alumni wa Mlimani Primary School, a class of 1998.
Nimekutana na classmate wangu akiwa na mtoto wake ambae amemaliza darasa la Saba mlimani Primary school. Honestly.she is very Bright. Mpaka.nimejilaumu kwanini sikumpeleka binti yangu at Mlimani Primary School ( Na yeye kamaliza darasa la Saba kwenye Shule.moja ya English Medium)
Sioni tofauti yoyote kati ya watoto wa Mlimani Primary School Na watoto wa other English medium schools. Sana.sana watoto wa hizo.English.medium schools Wana confidence tu ya kuzungumza kwa kiingereza lakini Mambo mengine NI kawaida sana.
Mnaoishi jirani na Mlimani Primary School acheni kupoteza mamilioni kuwapeleka watoto wenu English Mediums wakati Mlimani Primary School.ipo.
Kumpeleka mtoto wako English medium.wakati unaishi uswahili NI upuuzi tu.kwa sababu toto.lako.likitoka shule linakuja.kucheza na watoto.wenzake wa uswahilini ambao wanasoma.st kayumba.
Mzazi mpeleke mtoto wako.shule ya ya Msingi ya kawaida, msimamie vizuri, matuition kwa kwenda mbele halafu hayo.mamilioni ya kulipa.ada shule ya Msingi mtunzie utakuja.kuyatumia kulipa.shule nzuri ya secondary na nyingine zitamsaidia kwenye maisha yake ya baadae.
Nimekutana na classmate wangu akiwa na mtoto wake ambae amemaliza darasa la Saba mlimani Primary school. Honestly.she is very Bright. Mpaka.nimejilaumu kwanini sikumpeleka binti yangu at Mlimani Primary School ( Na yeye kamaliza darasa la Saba kwenye Shule.moja ya English Medium)
Sioni tofauti yoyote kati ya watoto wa Mlimani Primary School Na watoto wa other English medium schools. Sana.sana watoto wa hizo.English.medium schools Wana confidence tu ya kuzungumza kwa kiingereza lakini Mambo mengine NI kawaida sana.
Mnaoishi jirani na Mlimani Primary School acheni kupoteza mamilioni kuwapeleka watoto wenu English Mediums wakati Mlimani Primary School.ipo.
Kumpeleka mtoto wako English medium.wakati unaishi uswahili NI upuuzi tu.kwa sababu toto.lako.likitoka shule linakuja.kucheza na watoto.wenzake wa uswahilini ambao wanasoma.st kayumba.
Mzazi mpeleke mtoto wako.shule ya ya Msingi ya kawaida, msimamie vizuri, matuition kwa kwenda mbele halafu hayo.mamilioni ya kulipa.ada shule ya Msingi mtunzie utakuja.kuyatumia kulipa.shule nzuri ya secondary na nyingine zitamsaidia kwenye maisha yake ya baadae.